Ujumbe kwa mabinti wanaotaka kuolewa

Ujumbe kwa mabinti wanaotaka kuolewa

Ila atakae hitaji kuolewa awe sirias lakini anitafte,umr 25 ns kuendelea sitaniii jamani rangi yoyote ila awe na shepu,ikibidi awe aliumizwa huko ili asinisumbue kifupi awe anajua maisha ya mahusiano.anitafte dm tutajadili tutapanga tutamushirikisha mungu mambo yataenda.
 
Kiukweli wanawake wa siku hizi dada zetu hasa wenye tu degree twao huwa wanajifanya matawi ya juu sana mpaka anafika mahali anakongoroka ndio anakumbuka kutafuta mme mwenye akili ya maisha, utii hawana wapo zaidi kimapenzi ila sio kindoa.
Ukweli dada zetu hasa walee kuweni makini mtakuja kutukumbuka ila mda huo hatutakuwa tena na nafasi hiyo
 
Mkuu kama unajua lilipo hilo kanisa nielekeze nnashida na wawili
Kuna huyo aliyevaa kikoti chekundu na gauni jeupe na kuna mwingine anajaribu kufanana na Jackline Wolper
🤣🤣🤣 yuko vizuri
 
Mkuu kama unajua lilipo hilo kanisa nielekeze nnashida na wawili
Kuna huyo aliyevaa kikoti chekundu na gauni jeupe na kuna mwingine anajaribu kufanana na Jackline Wolper
Mkuu hata mimi sijui lilipo nalisikia tu. naamini tuliuliza hatutapotea. mimi nin shida na wanne.
Naiskia siku ya maombezi ni jumanee ila sisi inabidi twende jpili. cha msingi tafuta vile vifungu vya biblia vya kutongozea
 
Back
Top Bottom