Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 604
- 979
- Thread starter
- #21
AhahahaKuna huyo dada mwenye skirt nyeusi, lazima atakuwa ashapata wake maana hizo mbio zake ni zaidi ya Usain Bolt
AhahahaKuna huyo dada mwenye skirt nyeusi, lazima atakuwa ashapata wake maana hizo mbio zake ni zaidi ya Usain Bolt
Ina maanisha wewe sio mwaminifu!??Ndio umesemaje hapo?
Kwamba utakuwa mwaminifu kwa mume wako? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787]Ndio umesemaje hapo?
Kwamba utakuwa mwaminifu kwa mume wako? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787]Nilitegemea kukuona hapa[emoji2]
Nakuunga mkono asilimia mia mojaHako ka clip ka Mlima wa Moto Ni Moto kwelikweli.
Kana mabinti wa sampuli zote wenye na wasio na makalio,weupe kwa weusi,wembamba kwa wanene.
Siamini kama mwanamke kuolewa ni majaaliwa,kinachowaponza hawa mabinti ni negligence.
Kuna kanisa moja nilienda wadada wakawa wanalia cha ajabu hata alienialika alikuwa analia wakati nilimwambia nimuoe akakataa; nikabaki kula tunda tuWanaishia kwenda kulia lia makanisani
Mkuu ndio wapi huko?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabaharia tunawacheki tu na kusema hiiiiiii,,,wacha tuzamie mlima wa moto tukaopoe vimwali.
Wanawakataa wanaume afu wanaenda kulia mlima wa motoKuna kanisa moja nilienda wadada wakawa wanalia cha ajabu hata alienialika alikuwa analia wakati nilimwambia nimuoe akakataa; nikabaki kula tunda tu
Ndio utashangaaWanawakataa wanaume afu wanaenda kulia mlima wa moto
Kanisani kwa mama Getrude LwakatareMkuu ndio wapi huko?
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣 subiri uzae mtoto wa kike.Hako ka clip ka Mlima wa Moto Ni Moto kwelikweli.
Kana mabinti wa sampuli zote wenye na wasio na makalio,weupe kwa weusi,wembamba kwa wanene.
Siamini kama mwanamke kuolewa ni majaaliwa,kinachowaponza hawa mabinti ni negligence.
Njia rahisi isiyo na gharama ni kwenda kusali Mlima wa Moto.Nawasalimuni nyote!
Naomba ku declare interest kuwa nimeoa
Baada ya hapo naomba niwakumbushe mambo ya muhimu mabinti wote mnaosaka ndoa
kabla ya kwenda kulia makanisani au kwa waganga tambueni kuwa:-
1. Hakuna mwanaume anayetoka mbinguni kuja kukuoa, mwanaume wa kukuoa ni huyo wa mtaani kwako, schoolmate au co worker. Ni kawaida sana kwa ninyi kuwadharau na kuwatolea lugha mbovu hao wanaokuzunguka. Nyie ndio mnaodai huyo sio wa hadhi yangu. Mwishoni unaenda kulia madhabahuni au kwa waganga wa kienyeji!! Sasa wewe baki ukiwadharau wanaokuzunguka uone kama hautaishia kulia makanisani kila siku.
2. Jiheshimu na heshimu wenzako. Binti unapaswa kujiheshimu kwa kila kitu. Sio mtaani hata uvaaji wako ni wa hovyo. Kuna wanawake ukiwaona tu ni wife material just kwa kujiheshimu kwao.
3. Tengeneza mahusiano na watu sahihi. Wapo wanawake ambao huwa na mahusiano na waume za watu. Hapa unategemea ndoa gani..
4. Epuka tamaa ya mali maana wengine mnajifanyaga kutaka wenye magari na fedha. Utasikia mtu akisema siwezi kuolewa na huyo hana mbele wala nyuma. Just be normal maana mali na fedha huja baadaye.
Itabidi wani dei nijisogeze pale naweza pata jiko hukoKanisani kwa mama Getrude Lwakatare
Mkuu kama unajua lilipo hilo kanisa nielekeze nnashida na wawiliItabidi wani dei nijisogeze pale naweza pata jiko huko
Naanza kuhudhuria makanisani, sina sababu nyingine.... peponi uhakika.
Kuna kanisa moja nilienda wadada wakawa wanalia cha ajabu hata alienialika alikuwa analia wakati nilimwambia nimuoe akakataa; nikabaki kula tunda tu