mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Chama cha demokrasia na maendeleo kimejipambanua kama chama kikuu cha upinzani. Chama hiki kina matarajio makubwa sana kushinda uchaguzi wa 2015 na kushika dola.
Hata hivyo naomba nikitahadharishe kuwa kuna vikwazo vingi na hatari mbele. Ingawa CHADEMA kinaiona CCM kama ndio tatizo kubwa mimi nina maoni tofauti kidogo. Tatizo si CCM hasa bali ni ufisadi au umafia unaoshamirishawa na nguvu ya fedha tana fedha chafu. Ufisadi/umafia ndio hasa ulio na nafasi ya kuiweka serikali uitakayo madarakani. Ikiwa wataona kuwa CCM inaanguka na CDM inashamiri watatafuta namna ya kujipambanua nacho. Na hapo tatizo la nchi litabaki palepale
Hali halisi inaonekana pale ambapo kila mtu analalamika kuhusu ufisadi si ccm si upinzani. Umafia unajali zaidi maslahi yake. Ukiona unashidwa huanza mbinu chafu za kuwatokomeza wanaoupinga bila kujali wanatoka chama gani. Mbinu nyingine ni kuweka mamluki katika vyama na serikali.
Katika hali kama hii ni vena CDM kikatafakari mbinu kabambe za kivita. Hii si kazi ya lele mama na wala si kazi ya kuandamana tu ni mapambano ya kisayansi. Kila anayepinga ufisadi kwa moyo wote asipuuzwe hata kama anotoka chama tofauti.
Hata hivyo naomba nikitahadharishe kuwa kuna vikwazo vingi na hatari mbele. Ingawa CHADEMA kinaiona CCM kama ndio tatizo kubwa mimi nina maoni tofauti kidogo. Tatizo si CCM hasa bali ni ufisadi au umafia unaoshamirishawa na nguvu ya fedha tana fedha chafu. Ufisadi/umafia ndio hasa ulio na nafasi ya kuiweka serikali uitakayo madarakani. Ikiwa wataona kuwa CCM inaanguka na CDM inashamiri watatafuta namna ya kujipambanua nacho. Na hapo tatizo la nchi litabaki palepale
Hali halisi inaonekana pale ambapo kila mtu analalamika kuhusu ufisadi si ccm si upinzani. Umafia unajali zaidi maslahi yake. Ukiona unashidwa huanza mbinu chafu za kuwatokomeza wanaoupinga bila kujali wanatoka chama gani. Mbinu nyingine ni kuweka mamluki katika vyama na serikali.
Katika hali kama hii ni vena CDM kikatafakari mbinu kabambe za kivita. Hii si kazi ya lele mama na wala si kazi ya kuandamana tu ni mapambano ya kisayansi. Kila anayepinga ufisadi kwa moyo wote asipuuzwe hata kama anotoka chama tofauti.