JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 8,309
- 11,659
Ifike hatua muanze kuongoza wananchi sio kutawala. Kutawala ni kwa mkoloni.
Ifike hatua musijifanye jeshi . Ninyi ni Chama cha siasa. Munatumia majeshi kufanya kazi ya siasa. Na hii itaighalimu nchi. Utulivu unapotea.
Fanyeni fair play kama yanga na simba Ili keki ya nchi tufaidi sote.
Naamini kabisa hata bila CCM kuwepo madarakani Bado tutafaidi sote inchi ukiwa na umoja. Hata CCM watafaidi.
Ifike hatua musijifanye jeshi . Ninyi ni Chama cha siasa. Munatumia majeshi kufanya kazi ya siasa. Na hii itaighalimu nchi. Utulivu unapotea.
Fanyeni fair play kama yanga na simba Ili keki ya nchi tufaidi sote.
Naamini kabisa hata bila CCM kuwepo madarakani Bado tutafaidi sote inchi ukiwa na umoja. Hata CCM watafaidi.