Hii kauli kama kweli ni ya TANESCO basi aliyetoa kauli hiyo anatakiwa aachie ngazi hii ni dharau kwa WATANZANIA ambao uchumi wao unategemea umeme kauli hizi na dharau hizi zinatoka wapi? kwa kauli hii ambao wamezaliwa mjini hawalalamiki na huduma hii mbovu ya umeme? hawa wahuni walioko TANESCO wamechoka, wameshindwa kazi hawana jibu kwa nn umeme haukidhi mahitaji ya watanzania wanatakiwa waachie ofsi yetu.
Aise kweli mkuu nash2010. Yaani kwa hakika tuna laana au niseme ni kitu gani? Tatizo tunaiba mno!! Kila mtu ameshakata tamaa anabaki kukwapua tu!! Wanakuambia mbona wakubwa wanauza nchi kwa wawekezaji? Ha ha ha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.