Nadhani hawa hawafai kuwa viongozi. Vijijini kuna umeme pia. Hata kama hakuna umeme,kwani huo umeme hapo mjini uliwekwa ili ukatike kila mara? Nadhani aliyetoa kauli hiyo anapaswa kushulikiwa kisheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.