1) ushamzalilisha sana konda na kumkejeli , anadai nauli yake pochi umeisahau nyumbani
2) Ushamfukuzia sana binti, siku anakuja geto kitu haisimami ingawa si kawaida yako
3) unamsema bosi wako kwa wafanyakazi wenzako, unageuka, bosi alikua nyuma yako anakusikilizia
4) umetoka out na mrembo, unamwambia aendelee kunywa unaenda ATM mara moja, ukifika ATM system down
unayafuata njeUnashusha mzigo wa haja halafu unagundua maji hamna na toilet paper imekwisha halafu upo ukweni.