Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,239
- 40,752
Kwetu kwa muda wa msiba ni kulala juu ya mkeka tu,japo sababu kubwa ni uwingi wa watu vitu vyote huwekwa chumba kimoja kupata nafasi ya kulala........
Zamani hata viatu or ndala ilikuwa hairuhusiwi kwa wafiwa, tangu early 1990's huo upuuzi uliachwa
Zamani hata viatu or ndala ilikuwa hairuhusiwi kwa wafiwa, tangu early 1990's huo upuuzi uliachwa