simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,699
- 9,591
Bila shaka ujio wa viber na whatsapp umepunguza maradufu gharama ya kupiga simu na kutuma sms. Mfano data usage ya viber ni sawa na 240 kb per min(up and down). Hii ina maana simu ya saa moja(iwe local au international) inakula 14MB(up and down). 50 MB zantel ni sawa na tsh 500 hivo gharama ya one hour international call ni sawa na 14/50x500 au tsh 140. Hii si kiama kwa telecos au?