Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,206
- 12,706
Kitabu cha ufunuo kinazungumza habari ya siku za mwisho ambavyo mataifa yatajikusanya kupigana na jeshi la malaika wa Mungu likiongozwa na Yesu.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.
Kwa maoni yangu ni kuwa binadamu watapambana na jeshi la Mungu si kwa sababu ni waovu bali kwa sababu watafikiri kuwa ujio wa pili ni uvamizi wa extraterrestrial beings. Wataona ni aliens wamevamia. Aliens invasion ndiyo kitu pekee kinachoweza kuwaunganisha binadamu wote kupigana pamoja.