nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,689
Hali zenu wana JF?Kwa wale wanaopenda kusoma riwaya, napenda kuchukua fursa hii kuwatangazia ujio wa kitabu cha MIKATABA YA KISHETANI kilichoandikwa na Marehemu Ben R. Mtobwa. Kitabu hiki kinatarajiwa kutoka tarehe 1/1/2015. Riwaya hii ni mlolongo wa harakati za Joram Kiango ambavyo viliwahi kutoka kabla ya kifo cha mwandishi Ben R. Mtobwa. Baadhi ya mlolongo wa riwaya hizo ni pamoja na Tutarudi na Roho Zetu? Salamu Toka Kuzimu, Mtambo wa Mauti, Mikononi mwa Nunda na vingine vingi. Kitabu hiki kitauzwa kwa shilingi elfu kumi tu za kitanzania.
Napenda kuchukua fursa hii pia, kumshukuru saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana The Boss kwa kunishika mkono pale nilipokwama, na wale wote walionisaidia kwa jambo lolote kuhusiana na utoaji wa kitabu hiki.
N.B: Taarifa ya mawasiliano na mahala ambapo kitapatikana kitabu hiki, naomba niitoe mara tu kitabu hiki kitakapotoka otherwise PM itahusika.
Asanteni.
Napenda kuchukua fursa hii pia, kumshukuru saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana The Boss kwa kunishika mkono pale nilipokwama, na wale wote walionisaidia kwa jambo lolote kuhusiana na utoaji wa kitabu hiki.
N.B: Taarifa ya mawasiliano na mahala ambapo kitapatikana kitabu hiki, naomba niitoe mara tu kitabu hiki kitakapotoka otherwise PM itahusika.
Asanteni.
Attachments
Last edited by a moderator: