Ujio wa Kitabu cha Mikataba ya kishetani

Ujio wa Kitabu cha Mikataba ya kishetani

nameless girl

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
4,195
Reaction score
2,689
Hali zenu wana JF?Kwa wale wanaopenda kusoma riwaya, napenda kuchukua fursa hii kuwatangazia ujio wa kitabu cha MIKATABA YA KISHETANI kilichoandikwa na Marehemu Ben R. Mtobwa. Kitabu hiki kinatarajiwa kutoka tarehe 1/1/2015. Riwaya hii ni mlolongo wa harakati za Joram Kiango ambavyo viliwahi kutoka kabla ya kifo cha mwandishi Ben R. Mtobwa. Baadhi ya mlolongo wa riwaya hizo ni pamoja na Tutarudi na Roho Zetu? Salamu Toka Kuzimu, Mtambo wa Mauti, Mikononi mwa Nunda na vingine vingi. Kitabu hiki kitauzwa kwa shilingi elfu kumi tu za kitanzania.

Napenda kuchukua fursa hii pia, kumshukuru saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana The Boss kwa kunishika mkono pale nilipokwama, na wale wote walionisaidia kwa jambo lolote kuhusiana na utoaji wa kitabu hiki.

N.B: Taarifa ya mawasiliano na mahala ambapo kitapatikana kitabu hiki, naomba niitoe mara tu kitabu hiki kitakapotoka otherwise PM itahusika.
Asanteni.
 

Attachments

  • tangazo.jpg
    tangazo.jpg
    319.6 KB · Views: 596
Last edited by a moderator:
nameless girl Kwa hiyo sasa baada ya Mwandishi Ben R. Mtobwa kututoka, wewe ndio umerithi mikoba yake? Na unatuhakikishiaje kama hautamchakachua Joram Kiango tuliyezoea kumsoma enzi zile tukiwa sekondari tukijikusanya kikundi wakati wa free period na break huku mmoja akitusomea?
 
Last edited by a moderator:
nameless girl Kwa hiyo sasa baada ya Mwandishi Ben R. Mtobwa kututoka, wewe ndio umerithi mikoba yake? Na unatuhakikishiaje kama hautamchakachua Joram Kiango tuliyezoea kumsoma enzi zile tukiwa sekondari tukijikusanya kikundi wakati wa free period na break huku mmoja akitusomea?

Hiyo ni kazi yake, mimi sio mwandishi aliiandika kabla hajafariki...
 
Last edited by a moderator:
Mpwa wangu hongera sana kwa kazi nzuri, ila sijaelewa kitu hapa, you mean unazalisha nakala nyingine au ndio unakichapisha? Please mimi nitakua mteja wako, Vitavbu vyake vinanikumbusha mbali sana
Hali zenu wana JF?Kwa wale wanaopenda kusoma riwaya, napenda kuchukua fursa hii kuwatangazia ujio wa kitabu cha MIKATABA YA KISHETANI kilichoandikwa na Marehemu Ben R. Mtobwa. Kitabu hiki kinatarajiwa kutoka tarehe 1/1/2015. Riwaya hii ni mlolongo wa harakati za Joram Kiango ambavyo viliwahi kutoka kabla ya kifo cha mwandishi Ben R. Mtobwa. Baadhi ya mlolongo wa riwaya hizo ni pamoja na Tutarudi na Roho Zetu? Salamu Toka Kuzimu, Mtambo wa Mauti, Mikononi mwa Nunda na vingine vingi. Kitabu hiki kitauzwa kwa shilingi elfu kumi tu za kitanzania.

Napenda kuchukua fursa hii pia, kumshukuru saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana The Boss kwa kunishika mkono pale nilipokwama, na wale wote walionisaidia kwa jambo lolote kuhusiana na utoaji wa kitabu hiki.

N.B: Taarifa ya mawasiliano na mahala ambapo kitapatikana kitabu hiki, naomba niitoe mara tu kitabu hiki kitakapotoka otherwise PM itahusika.
Asanteni.
 
Mpwa wangu hongera sana kwa kazi nzuri, ila sijaelewa kitu hapa, you mean unazalisha nakala nyingine au ndio unakichapisha? Please mimi nitakua mteja wako, Vitavbu vyake vinanikumbusha mbali sana

Mpwa....
Hiki ni kitabu kipya ambacho Marehemu alikiandika kabla mauti hayajamfika ila kwa bahati mbaya sana hakuweza kukitoa though alikuwa kwenye hatua za mwisho za kutoa kitabu hiki.
Nilichofanya mimi ni kuhangaikia kuchapwa kwa kitabu hiki tu...
Hope umenielewa mpwa.
 
Ni kitabu kizuri Sana jamani.Kwa wale wasiofahamu nameless girl Ni miongoni mwa watoto shupavu WA nguli na mwandishi makini WA riwaya bwana Ben Mtobwa.Kazi aliyoifanya inatubidi kila mwenye mapenzi mema amuunge mkono katika harakati za kufanya kazi za nguli huyu ziendelee kusomwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa.Viva nameless girl.
 
Last edited by a moderator:
Nameless, je naweza kupata vitabu vya Ben vyote alivyotunga?
 
Mpwa....
Hiki ni kitabu kipya ambacho Marehemu alikiandika kabla mauti hayajamfika ila kwa bahati mbaya sana hakuweza kukitoa though alikuwa kwenye hatua za mwisho za kutoa kitabu hiki.
Nilichofanya mimi ni kuhangaikia kuchapwa kwa kitabu hiki tu...
Hope umenielewa mpwa.

No way aisee hakikisha panapomajaaliwa unanipatia copy yake. Kwa pesa yoyote Ile, thanks
Naomba haya maelezo yako yawepo kwenye thread yako hapo juu ili kuondoa utata. Thanks so much thanks
 
No way aisee hakikisha panapomajaaliwa unanipatia copy yake. Kwa pesa yoyote Ile, thanks
Naomba haya maelezo yako yawepo kwenye thread yako hapo juu ili kuondoa utata. Thanks so much thanks

Utakipata usijali mpwa...
 
Vipi katika uzoefu wako wa vitabu je naweza kupata vile vya alfu lela ulela? Nashkuru.

Vitabu vya alfu lela ulela vinatoka chini ya Mkuki na Nyota publishers... unaweza kuvipata ofisini kwao ambayo ipo Posta.
 
Back
Top Bottom