Ujio wa kitabu cha Dar es Salaam Usiku

Ujio wa kitabu cha Dar es Salaam Usiku

nameless girl

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
4,195
Reaction score
2,685
Habari?
Kwa wale wapenzi wa riwaya, Kitabu cha Dar es Salaam usiku cha mwandishi hayati Ben Mtobwa kitapatika kuanzia tarehe 7 ya mwezi wa nane kwa bei ile ile ya shilingi elfu 10,000 tu. Kwa wanaoishi nje ya Dar, unaweza kutumiwa kitabu chako kwa njia ya sanduku au basi kwa bei ya shilingi 5000 tu.
Kwa wale wa Dar es salaam, utaweza kujipatia kitabu hiki posta mpya katibia na sanamu la askari au Kinondoni nyuma ya jengo la airtel.
Mpaka sasa vinapatikana vitabu 9
1/ Malaika wa shetani 10,000
2/ Mtambo wa mauti 10,000
3/ Najisikia kuua tena 10,000
4/ Mikataba ya kishetani 10,000
5/ Mikononi mwa nunda 10,000
6/ Tutarudi na roho zetu? 10,000
7/ Roho ya paka 10,000
8/ Salamu toka kuzimu 10,000
9/ Zawadi ya ushindi..... 7,000
Kwa mawasiliano zaidi, tupigie kwa namba 0763044459 au 0712504985
 

Attachments

  • mkataba[1].jpg
    mkataba[1].jpg
    193 KB · Views: 169
  • mtambo[1].jpg
    mtambo[1].jpg
    159.6 KB · Views: 155
  • salamu[1].jpg
    salamu[1].jpg
    190.5 KB · Views: 153
  • tutarudi[1].jpg
    tutarudi[1].jpg
    151.6 KB · Views: 151
  • paka[1].jpg
    paka[1].jpg
    144.2 KB · Views: 153
  • dar usiku cover.jpg
    dar usiku cover.jpg
    11.7 KB · Views: 167
  • malaika wa shetani.jpg
    malaika wa shetani.jpg
    71.6 KB · Views: 157
  • najisikia.jpg
    najisikia.jpg
    8.6 KB · Views: 126
  • nunda.jpg
    nunda.jpg
    66.8 KB · Views: 176
Ongera ntakutafuta nije kuongeza vitabu
 
Daaah tutarudi na roho zetu ni kitabu kizuri sana!
 
Nameless girl, hivi vitabu Bado vipi?

Habari?
Kwa wale wapenzi wa riwaya, Kitabu cha Dar es Salaam usiku cha mwandishi hayati Ben Mtobwa kitapatika kuanzia tarehe 7 ya mwezi wa nane kwa bei ile ile ya shilingi elfu 10,000 tu. Kwa wanaoishi nje ya Dar, unaweza kutumiwa kitabu chako kwa njia ya sanduku au basi kwa bei ya shilingi 5000 tu.
Kwa wale wa Dar es salaam, utaweza kujipatia kitabu hiki posta mpya katibia na sanamu la askari au Kinondoni nyuma ya jengo la airtel.
Mpaka sasa vinapatikana vitabu 9
1/ Malaika wa shetani 10,000
2/ Mtambo wa mauti 10,000
3/ Najisikia kuua tena 10,000
4/ Mikataba ya kishetani 10,000
5/ Mikononi mwa nunda 10,000
6/ Tutarudi na roho zetu? 10,000
7/ Roho ya paka 10,000
8/ Salamu toka kuzimu 10,000
9/ Zawadi ya ushindi..... 7,000
Kwa mawasiliano zaidi, tupigie kwa namba 0763044459 au 0712504985
 
Back
Top Bottom