tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Kampuni matata ya kutengeneza vifaa vya electronic ambayo imejipatia umaarufu mkubwa kwa kuunda simu za iphone, ipad, ipod hata kompyuta na television, (apple) inatarajia kuiweka sokoni simu mpya yenye mfumo wa ios iphone 6.
Simu hiyo ambayo inasemekana kuwa ya kisasa zaidi inatarajiwa kuwa sokoni novembar 1 mwaka huu, cm iyo ambayo itakuwa na uwezo wa kujijibu yenyewe kama muhusika hatokuwa karibu nayo ,kwa hapa Tanzania inatarajiwa kuuzwa tsh milioni 6 , haya jamani wazee wa iphone tazama picha za kitu iko!!!