Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,355
- 1,411
Mwandishi wa Champion anakera!
mwanangu Kibu mtu aiseeNaona bado Simba inahitaji striker moja namba 9 wa maana, hawa kina Kibu tunaweza kuwaazima utopolo tu.
kweli kabisa.Naona bado Simba inahitaji striker moja namba 9 wa maana, hawa kina Kibu tunaweza kuwaazima utopolo tu.
4-1Huyo chama ana madhara gani kwa Yanga? Mechi ambazo tunakutana na nyie tunawakalisha pamoja na uwepo wake.
Au atatumika kuchezea timu zote zitakazokutana na Yanga? Yanga akikaza mechi zake zote akashinda huyo chama anawezaje kuzuia ubingwa kwa Yanga?
Ni mjinga pekee ataamini kwamba chama ataizuia yanga kubeba ubingwa ilihali mechi zote anakalishwa na yeue akiwemi.
Simba haija msajili Chama sababu ya kuifunga Yanga bali makombe...Huyo chama ana madhara gani kwa Yanga? Mechi ambazo tunakutana na nyie tunawakalisha pamoja na uwepo wake.
Au atatumika kuchezea timu zote zitakazokutana na Yanga? Yanga akikaza mechi zake zote akashinda huyo chama anawezaje kuzuia ubingwa kwa Yanga?
Ni mjinga pekee ataamini kwamba chama ataizuia yanga kubeba ubingwa ilihali mechi zote anakalishwa na yeue akiwemi.
Usiwajibu wajinga kwani wakati yupo alikuwa anafanya nini mbona walikuwa wanagongeshwa na chama wao, labda atazisumbua timu nyingine but sio yanga, Kama alishindwa kipindi kile yanga ikiwa hoi aje awezi leo ikiwa na mafundi pale katikati mtamkataa wenyeweHuyo chama ana madhara gani kwa Yanga? Mechi ambazo tunakutana na nyie tunawakalisha pamoja na uwepo wake.
Au atatumika kuchezea timu zote zitakazokutana na Yanga? Yanga akikaza mechi zake zote akashinda huyo chama anawezaje kuzuia ubingwa kwa Yanga?
Ni mjinga pekee ataamini kwamba chama ataizuia yanga kubeba ubingwa ilihali mechi zote anakalishwa na yeue akiwemi.