Tarehe 3 mwezi julai,2012 chama kipya CHAUMMA(chama cha ukombozi wa Umma) kilipata usajili wa muda.
Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.
Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I dont see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want
Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.
Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi
Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.
CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.
Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.
Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I dont see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want
Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.
Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi
Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.
CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.