Ujio wa Chama kipya CHAUMMA na Harakati za ukombozi

Status
Not open for further replies.

CHAUMMA

Member
Jul 5, 2012
14
3
Tarehe 3 mwezi julai,2012 chama kipya CHAUMMA(chama cha ukombozi wa Umma) kilipata usajili wa muda.

Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.

Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I don’t see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want


Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.

Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi

Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.

CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.
 
To divide and rule could only tear us apart;
In everyman chest, mm - there beats a heart.
So soon we'll find out who is the real revolutionaries;
And I don't want my people to be tricked by mercenaries.

Bob Marley.
 
Ninachowashauri acheni vita ambayo mmeshaanza na CDM.Hivi mnadhani kutangaza vita na CDM ni mtaimarika? Jifikirieni upya mkitaka kupata nguvu teteeni yale CDM wanayotetea.Mnavyofanya vita nao ndio mnakaribisha kifo chenu.Wenzenu CUF na NCCR walianza yamewashinda.
 
you can fool some people for sometime, but you can't foll all the people all the time.

Robert Nesta
 
Ninachowashauri acheni vita ambayo mmeshaanza na CDM.Hivi mnadhani kutangaza vita na CDM ni mtaimarika? Jifikirieni upya mkitaka kupata nguvu teteeni yale CDM wanayotetea.Mnavyofanya vita nao ndio mnakaribisha kifo chenu.Wenzenu CUF na CDM walianza yamewashinda.

Molemo,

CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo
 
Molemo,

CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo

Mkuu umenijibu vema
Kuna thread moja iko hapa tangu jana inawataka vijana wa CDM kuhamia kwenu kwa sababu CDM ina ukabila,vipi hamuhusiki na uhuni wa namna hii?
 
Mmechelewa mchezo wenu wa kuiga kuunda chama kipya!!!! eti mnajaribu kugawa kura nani kawadanganya???? 2015 watu wanausongo wa kujiandikisha tunatarajia kuwa na wapiga kura 25million kama unategemea kugawa kura utapata zako na za mshindi zitabaki.Ndugu zako ccm wanafanya mzaha kuhusu bunge na bajeti hawajui kama mwisho they must account for.tutawabana tuone bajet zao zimefanya kazi gani.kwa sasa hata mjengoni hawakai mwisho spika ameanza kulalamika, serikali inalalamika, JK analalamika.Ila hawajui kuwa CDM watatumia uzembe huu kujijenga na kuchukua dola kiuraini
 
Mkuu umenijibu vema
Kuna thread moja iko hapa tangu jana inawataka vijana wa CDM kuhamia kwenu kwa sababu CDM ina ukabila,vipi hamuhusiki na uhuni wa namna hii?

Asante

Tulipigiwa simu kwamba kuna thread imeanzishwa huku.Kwa kweli ilitusikitisha sana hasa kuhusu maudhui na jinsi ambavyo watu walivyokuwa wakipotoshwa/kupotoka.Uhuni na uchafuzi wa aina hii kwenye chama chochote cha siasa hauvumiliki.Kila chama kina mapungufu.Miongoni mwetu ndani ya CHAUMMA kuna watu ambao hawakuwa na vyama kwa kuwa hawakuona mbadala,kuna watu waliotoka kwenye vyama vya siasa.Naamini CHAUMMA kitakua kimbilio la watanzania wanaoona fursa ya ukombozi kupitia chama hiki.Hatutaki mchezo wa kuchafua vyama vingine ingawa sisi tunachafuliwa.Watanzania wanahitaji ukombozi na hiyo ndiyo ajenda yetu kuu katika harakati hizi

Mmechelewa mchezo wenu wa kuiga kuunda chama kipya!!!! eti mnajaribu kugawa kura nani kawadanganya???? 2015 watu wanausongo wa kujiandikisha tunatarajia kuwa na wapiga kura 25million kama unategemea kugawa kura utapata zako na za mshindi zitabaki.Ndugu zako ccm wanafanya mzaha kuhusu bunge na bajeti hawajui kama mwisho they must account for.tutawabana tuone bajet zao zimefanya kazi gani.kwa sasa hata mjengoni hawakai mwisho spika ameanza kulalamika, serikali inalalamika, JK analalamika.Ila hawajui kuwa CDM watatumia uzembe huu kujijenga na kuchukua dola kiuraini

Propaganda za kuhusisha CHAUMMA na CCM zinafanywa na CCM kwa lengo la kutupunguza nguvu hasa baada ya mikakati ytu kadhaa kuvuja.Hatutakubali yatokee yale ya CCJ na tumeshavuka hapo.tumekabiliwa na changamoto nyingi na hasa mbinu chafu za Usalama wa Taifa katika kuhakikisha hatupati usajili.Tumevuka hapo natuna uhakika tutapata usajili wa kudumu hivi karibuni.Tunaendelea kushukuru michango ya raslimali inayochangwa na watanzania ambao wanatuona kama chama makini.Tumefurahi sana kupata maombi ya wananchi na hasa wasomi kwa muda mfupi sana.Karibuni sana
 
Molemo,

CHAUMMA hakipambani na CHADEMA.Hata wanafunzi wa Yesu walimlalamikia kwa kumuambia 'mwalimu kuna watu wanatoa pepo kwa jina lako'.Yesu aliwajibu asiyetupinga yupo upande wetu.

Kuna propaganda chafu ambazo zinaenezwa na baadhi ya watu na wengine wakiwa ni watu wa upinzani kwa lengo la kukichafua chama hiki kichanga.tunawindwa na baadhi ya vyama vya Upinzani na CCM pia.Tumejipanga na tunajiandaa kuanza usajili wa wanachama kwa njia ya mtandao na kutengeneza Database imara

Tunawakaribisha nyote ndani ya chama hiki.Ilibidi jana na leo chama kiongeze raslimali watu kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kutaka kujiunga na chama hiki.tumepata maombi kutoka kwa wanachama wakongwe.Hatutambeba mtu yeyote.Tunaandaa vetting process kwa wanaotaka kujiunga na hasa wale waliofanya kazi serikali na wenye tuhuma za ufisadi.Hatutaki kuwa zoa zoa.Tunazingatia maadili katika siasa zetu.

CHAUMMA ni reflection ya Tanzania yenye staha,haki,maadili na wajibu katika ukombozi Taifa na raia wake kiuchumi,kisiasa na kijamii.tutaandaa harakati nchi nzima ili kuunda mkusanyiko wa watanzania wenye ujasiri kama ilivyo haiba ya chama chetu yaani ujasiri wa kijamii

Asanteni,karibuni katika ukombozi huu wa vitendo
Mkuu si vyema kufananisha hizi harakati zenu za kihuni na yesu!
 
Mkuu si vyema kufananisha hizi harakati zenu za kihuni na yesu!

Mchaka Mchaka,

Si vyema kutoa hukumu kwa njia isiyo ya staha kwa mambo ambayo hayana tafiti.Watanzania tumezoea kujadiliana kwa staha na hata inapotokea tofauti ya kimtazamo.Huu ndiyo ustaarabu na sifa inayowatambulisha watanzania.Asante
 
Kwa taarifa yenu ni kwamba katika uwekezaji wowote mafanikio yanakuja baada ya miaka mingi, kina mtei na marehemu bob makani walianza harakati tangu 1992 lakini matunda wanakula kina Zitto, Wenje na wajinga akina shibuda. Uwe tayari to persevere.

Spain wamesubiri kombe la dunia miaka nenda rudi lakini leo ndiyo they rule the world of football. Mifano hiyo nakupa kukujulisha kuwa kama utakuwa na malengo ya kitanzania ya kuwekeza leo na baada ya mwaka unataka uone mafanikio basi imekula kwenu.Kama mnasajiri chama kwa lengo la kuchukua dola 2015 mmepotea.

Lazima mmkubali kuwa huenda msiendelee kuwa viongozi maaana wajanja wakijiunga watawaondoa nyie na wao kuchukua himaya.
Ujue kuwa kazi uliyoanzisha hutaimaliza itamalizwa na wenzako na ndiyo watafaidi matunda.je!!!! uko tayari???????? sidhani ninavyojua umedanganywa kuja kuvuruga chama pinzani kwa CCM ukidhani kuwa CCM watakupa shavu hapo umeliwa mchana.

karibu
 
Kwa taarifa yenu ni kwamba katika uwekezaji wowote mafanikio yanakuja baada ya miaka mingi, kina mtei na marehemu bob makani walianza harakati tangu 1992 lakini matunda wanakula kina Zitto, Wenje na wajinga akina shibuda.Uwe tayari to persevere.Spain wamesubiri kombe la dunia miaka nenda rudi lakini leo ndiyo they rule the world of football.Mifano hiyo nakupa kukujulisha kuwa kama utakuwa na malengo ya kitanzania ya kuwekeza leo na baada ya mwaka unataka uone mafanikio basi imekula kwenu.Kama mnasajiri chama kwa lengo la kuchukua dola 2015 mmepotea.
Lazima mmkubali kuwa huenda msiendelee kuwa viongozi maaana wajanja wakijiunga watawaondoa nyie na wao kuchukua himaya.
Ujue kuwa kazi uliyoanzisha hutaimaliza itamalizwa na wenzako na ndiyo watafaidi matunda.je!!!! uko tayari???????? sidhani ninavyojua umedanganywa kuja kuvuruga chama pinzani kwa CCM ukidhani kuwa CCM watakupa shavu hapo umeliwa mchana.karibu
Nashukuru sana kwa ushauri wako.CHAUMMA si mali binafsi ya mtu kwa hiyo kama mtu anataka kuongoza chama ana fursa.Ni fursa kwa wote walalahoi na wote wenye dhamira njema na taifa hili.
 
Asante

Tulipigiwa simu kwamba kuna thread imeanzishwa huku.Kwa kweli ilitusikitisha sana hasa kuhusu maudhui na jinsi ambavyo watu walivyokuwa wakipotoshwa/kupotoka.Uhuni na uchafuzi wa aina hii kwenye chama chochote cha siasa hauvumiliki.Kila chama kina mapungufu.Miongoni mwetu ndani ya CHAUMMA kuna watu ambao hawakuwa na vyama kwa kuwa hawakuona mbadala,kuna watu waliotoka kwenye vyama vya siasa.Naamini CHAUMMA kitakua kimbilio la watanzania wanaoona fursa ya ukombozi kupitia chama hiki.Hatutaki mchezo wa kuchafua vyama vingine ingawa sisi tunachafuliwa.Watanzania wanahitaji ukombozi na hiyo ndiyo ajenda yetu kuu katika harakati hizi



Propaganda za kuhusisha CHAUMMA na CCM zinafanywa na CCM kwa lengo la kutupunguza nguvu hasa baada ya mikakati ytu kadhaa kuvuja.Hatutakubali yatokee yale ya CCJ na tumeshavuka hapo.tumekabiliwa na changamoto nyingi na hasa mbinu chafu za Usalama wa Taifa katika kuhakikisha hatupati usajili.Tumevuka hapo natuna uhakika tutapata usajili wa kudumu hivi karibuni.Tunaendelea kushukuru michango ya raslimali inayochangwa na watanzania ambao wanatuona kama chama makini.Tumefurahi sana kupata maombi ya wananchi na hasa wasomi kwa muda mfupi sana.Karibuni sana

Master wa propaganda nadhani munafahamu wananchi wana waza nini unajitahidi sana kujisafisha ni wewe Tuntemeke aka Chauma na ngenge lako mulianzisha thread mumeona imebackfire sasa munajisafisha tumieni haki yenu ya kikatiba kuendeleza sera zenu lakini eti hakuna chama cha ukombozi au mbadala wakati hamjafanya hata abcd moja watu watawapotezea kabla halijachwa ,ufuasi au ukada ni imani sasa ukiponda watu kwa kusema hawajijui sijui watakujuaje wewe ,
halafu kama kweli umeongeza nguvu kazi kwa jinsi vijana na wazee wanavyojiunga na nyinyi huhitaji kutuambia we endeleea kumobilise tutawaona wakiwajibika
CCJ,CCK,ADC wote walikuja na gia hiyo hiyo lakini wako wapi mpaka sasa hivi ungegundua kwamba watanzania wanachuka ages kumwamini mtu imechukua miaka 20 watanzania kuweka wazi kwamba sasa wanaamini wapinzani kwa hiyo fyata unaposema nyie ndio chama mbadala wakati wana macho
 
style, semantics, na flow ni kama ya familiar Great Thinker hapa.....any way ngoja niendelee kuchunguza zaidi


Tarehe 3 mwezi julai,2012 chama kipya CHAUMMA(chama cha ukombozi wa Umma) kilipata usajili wa muda.

Kwa bahati mbaya kabisa au kwa makusudi kuna baadhi ya watu wameakueneza propaganda za kukichafua chama hiki.Chama hiki hakina malengo ya kuwagawa wapinzani.Kina lengo la kutanua wigo wa upinzani katika kupambana na mfumo unaochochea unyonge wa kijamii,dhuluma,matumizi mabaya ya raslimali za Taifa na kuunganisha nguvu kama Jamii iiyochoka kukandamizwa na inayodai haki usawa.

Chama hiki ni chama ambacho hata mtoto wa masikini anaweza kusimama na akawa na sauti katika kuchagua na kuchaguliwa.I am yet to see a truly democratic and progressive party in Tanzania.All we have are political platforms which people use to realise their ambition not the ones to save the people. As far as this moment is concerned, I don’t see any difference in any political party in Tanzania. You may blame CCM or other parties for all you want to blame them for. And when you differ in opinion, they will plot your exit. That is not the kind of party we want


Though we disagree to agree, that gives us an edge. And that makes us stronger and we will continue to maintain that. We need to unite and there is need for unity among us. What holds us together is the unity and as a political party we must disagree, but whatever the level of disagreement, finally (at the end) we normally agree on a common front and that is what will make CHAUMMA a progressive party for progressive Tanzania.

Tunaamini suluhisho la matatizo yetu sote ni kupata mawazo na kutoa fursa kwa kila mtanzania mwenye kipaji kutumia fursa hii katika harakati zetu hizi

Tumepata maombi mengi ya kujiunga na chama hiki.Wengi wao ni vijana na tunaendelea kuratibu mchakato mzuri zaidi ili matawi na ofisi zifunguliwe mijini na vijijini.Tutawafuata Watanzania mahali walipo.Mwalimu Nyerere na wazee wa TANU walizunguaka Tanganyika katika kukusanya nguvu ya waafrika katika kupapmbana na ukoloni.Natambua kuna watanzania wasio na vyama,kuna wale walioko ndani ya vyama vya siasa hawaridhiki na mambo yalivyo.Tunawakaribisha kwa mikono miwili.

CHAUMMA tunapigania kwa vitendo kabisa demokrasia ya kijamii,haki,Amani na Usawa.
 
Nataka niwahi kuingia huko:
CHAUMMA

ofisi ziko wapi?
sera zenu nini?
viongozi kina nani?
waanzilishi kina nani?
wadhamini kina nani?
wafadhili kina nani?
 
Last edited by a moderator:
Mchaka Mchaka,

Si vyema kutoa hukumu kwa njia isiyo ya staha kwa mambo ambayo hayana tafiti.Watanzania tumezoea kujadiliana kwa staha na hata inapotokea tofauti ya kimtazamo.Huu ndiyo ustaarabu na sifa inayowatambulisha watanzania.Asante

Hebu Bandika katiba yenu hapa, nikipata wasaa niipitie!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom