Ujio wa 4g tigo

Ujio wa 4g tigo

Bora ije maana mi sielewi kwby simu yangu naona 4g nikiweka simu inazima
 
Issue ya tiGO haina cha 3 wala 300G,maana hyo 3 bado haipatikan fresh hapahapa town(Dsm)
 
hawa nawo wazushi! hapa dsm kwenyewe kuna baadhi ya maeneo hata hiyo E, ni shida tu.
 
Karibu kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya 4G/LTE kesho Trh 24-4 saa 3:00 asubuhi Mlimani City. Fika na kitambulisho usajili line mpya ya 4G/LTE yenye 10GB BURE .
MM WAMENITUMIA HYO SMS, NA WAMENILETEA KADI YA MWALIKO SEHEMU NILIPO
 
Wana jf heshima zanu, leo katika pita pita yangu kwenye net nimesoma uzinduzi wa 4g tigo hapo bongo katika maeneo ya mlimani na masaki, walio katika maeneo hayo na wameshatumia hiyo service watujuze kuhusu performance yake????

Karibu kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya 4G/LTE kesho Trh 24-4 saa 3:00 asubuhi Mlimani City. Fika na kitambulisho usajili line mpya ya 4G/LTE yenye 10GB BURE .
MM WAMENITUMIA HYO SMS, NA WAMENILETEA KADI YA MWALIKO SEHEMU NILIPO

Tigo kweli hawajielewi wanapenda sana Promo zisizo na msingi
Mwaka Juzi walinadi DC-HSPA+ kama 4G katika maeneo ya UDOM,UDSM,Makumbusho na Masaki ambako ukienda unakuta majanga yale yale ya sehemu zingine
Lakini leo hii naona wamekuja na 4G LTE katika maeeo yale yale

Hiyo Waloiita 4G ya 42Mbps basically hata 16Mbps haufiki
 

Attachments

  • tigo.PNG
    tigo.PNG
    77.7 KB · Views: 299
Mimi naona tigo wangefunga 3g kwanza ktk minara yao yote mijini na vijijini kabla ya kujitanua kwenda 4g.hapo dar penyewe internet ktk mtandao wa tigo ni mwendo wa kobe, any way ngoja tuwasubiri
I have the same ideology, mitandao karibia yote minara yao haina 3G, yaani kila sekunde utakuta simu inacheza E,3G,H,H+,E,3G,H,H+,E,3G,H,H+,E,3G,H,H+
 
I have the same ideology, mitandao karibia yote minara yao haina 3G, yaani kila sekunde utakuta simu inacheza E,3G,H,H+,E,3G,H,H+,E,3G,H,H+,E,3G,H,H+
Sijui kama ninekupata vizuri ila
sasa kama inacheza E mpaka H+ si maana yake ume permeat simu iwe inatumia both 2G na 3G sidhani kama ni tatizo la minara tena bali ni maamuzi yako...

The only way nikuweka 3G only basi ila ukiweka 3G/2G Auto ndo majanga yake hayo
 
umeandika points kiongozi.....!wanakimbilia lte wakati 3g majanga bado.


Barabara ya Songea to Mtwara kutowekwa rami hii haiwezi kuizuia serikali kutoweka barabara za juu/magari yaendayo kasi dar.
Mfano Wakazi wa Mbeya hawawezi kulalamikia speed ya internet Tigo mana iko poa tu tofauti na mitandao mingine, nazungumzia Mbeya town.

Namaanisha baadhi ya maeneo kutokua na 3G hakuwazuii tigo kuja na 4G.
Na zikiisha bundle za promotion hizo 10GB wanazodai, watu wataanza tena kulalamikia bei za vifurushi vya 4G, mana usitegemee tena kupata 200MB kwa 500Tsh.
 
Mimi naona tigo wangefunga 3g kwanza ktk minara yao yote mijini na vijijini kabla ya kujitanua kwenda 4g.hapo dar penyewe internet ktk mtandao wa tigo ni mwendo wa kobe, any way ngoja tuwasubiri

Hakuna internet ya hovyo duniani kama ya tigo
 
Hapa tu Mbezi Luguluni speed ya Konokono hadi raha ya internet hakuna sasa mnajifanya kukimbilia 4G wakati hii 3g imewashinda! Tigo hebu kuweni wastaarabu basi, acha porojo kwenye biashara.
 
Guys jitahidin kuheshim thread za watu...kama hamkua na cha kusema ni bora mngekaa kmya kuliko kuharub thread..

Mtoa mada ndiye angeheshimu thread yake mwenyewe kwanza. 4G? Never in Tanzania not in 60 years. Smile kwa kushirikiana na TCRA Njaa waliuhadaa umma eti wanatoa 4G Wakati huduma yao ni 2.5G with simulated 4G ie placebo
 
Back
Top Bottom