Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,812
- 40,298
Nikikumbuka mijadala ya Mwl Nyerere pale UDSM miaka Ile juu ya umajumui wa kiafrika na nikiangalia leo wasomi WA vyuo vikuu wanvyotumika kama chawa wa wanasiasa kupitishia agenda zao kwa faida yao aibu naona Mimi.
Hivi mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kutambua ubaya wa hii katiba? Mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kutambua kwamba kukubali kuingia kwenye uchaguzi na katiba hii hii ni kuisaidia ccm kubariki maovu yake ya miaka yote.
Kwamba hawa wanafunzi WA vyuo vikuu wamesahau leo jinsi mwanafunzi mwenzao AKWILINA AKWILIN alivyouwawa na policmm kisa ni haya ha mambo ya uchaguzi? HAKIKA UJINGA WETU UMEPANDA MPAKA KWENYE VYUO VYETU VIKUU. Hii ni hatari kubwa sana kwa ustawi wa taifa.
MVUNJA NCHI NI MWANANCHI.
Hivi mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kutambua ubaya wa hii katiba? Mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kutambua kwamba kukubali kuingia kwenye uchaguzi na katiba hii hii ni kuisaidia ccm kubariki maovu yake ya miaka yote.
Kwamba hawa wanafunzi WA vyuo vikuu wamesahau leo jinsi mwanafunzi mwenzao AKWILINA AKWILIN alivyouwawa na policmm kisa ni haya ha mambo ya uchaguzi? HAKIKA UJINGA WETU UMEPANDA MPAKA KWENYE VYUO VYETU VIKUU. Hii ni hatari kubwa sana kwa ustawi wa taifa.
MVUNJA NCHI NI MWANANCHI.