M Mtumwa wa kweli Member Joined Feb 11, 2011 Posts 71 Reaction score 6 Aug 5, 2011 #1 Nawasalimuni ninyi nyote, leo nina swali dogo tu, je hakuna ujinga wenye faida? je makosa yote tunayofanya hayana faida yoyote? hebu tupatie ujinga wenye faida ili tuweze kujifunza.
Nawasalimuni ninyi nyote, leo nina swali dogo tu, je hakuna ujinga wenye faida? je makosa yote tunayofanya hayana faida yoyote? hebu tupatie ujinga wenye faida ili tuweze kujifunza.