Ujinga wa wanaume wengi ni kuthamini zaidi Bikra, kuliko tabia na maadili za wasichana ama wanawake

Mshinga

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
3,532
1,126
pamoja na mimi kuwa mvulana bado sielewi nini cha maana katika bikra ya mwanamke ama msichana.
sababu za wasichana kutoa bikra ni nyingi sana, michezo na kazi ngumu,mapenzi ya hiari,kubakwa na sina uhakika kama na ukeketaji unaweza kuwa sababu.
wanaume wengi kwa kiasi kikubwa hupenda kuwauliza wasichana kama ni mabikra ama laa wanapokubaliwa tu ama wanapotongoza,na wakiambiwa ni mabikra ndo basi wanafarijika na kupumbazika kabisaaa, kwa kuwa binti hajaguswa ama hajabikiriwa kwa imani ya wengi ilivyo, HAPO HAPO HAWAELEWI MSICHANA ANAWEZA KUFANYA NGONO hata mara sita na zaidi NA BIKRA YAKE INABAKI SALAMA KUTEGEMEANA NA MWANAUME ALIYEKUTANA NAE.
cha kushangaza ni kwamba wanaume wengi wanaonekana kuthamini zaidi bikra na ni kipaumbele cha kwanza kuliko hata tabia na maadili ya msichana aliyolelewa nayo.
nasema huu ni ujinga kama ujinga mwingine.
katika hali ya kawaida.
msichana anatakiwa kupenda kuanzia enzi za usichana wake lakini hawezi kujua ni nani atamuoa ama atafika nae mbali, na hapo lazima atolewe bikra yake na mtu aliyempenda kwa dhati na hapaswi kulaumiwa kwa kuwa kama alivyokupenda wewe pia alimpenda mwingine ila walihitilafiana, na kama wewe hukumuona kipindi kile ulitaka aote kuwa mwanaume atakaemuoa ama kumpenda kwa dhati ni wewe ili aendelee kukutunzia bikra?wanaume tunapaswa kuangalia zaidi tabia na maadili,maana kuna wengine kazi yao ni kuishia kutoa mtu bikra tu na kumuacha. hata wenye tabia nzuri naa maadili wanaweza kubikiriwa na mtu asiye na malengo nao ama akabikiriwa na mvulana mmoja mwenye wasichana watatu wote wana tabia nzuri na hapo atajikuta anaacha wawili kama akitaka kuoa.wanaume kwa kuthamini zaidi bikra kuliko maadili na tabia na wanawake wakagungua ndio maana wakaamua kutengeneza bikra bandia zinazosaidia sana kupumbaza wanaume wasiulize tena wala kufatilia maadili ama tabia za msichana na wengi huja kusitaajabu baadae baada ya kugundua mtu waliyembikiri kumbe ana mtoto tayari ama alishatoa mimba na wakati mwingine hata hiyo ya kutengeneza huwa haipo na mwanaume anaishia kulalama na kwa kuwa ameshaweka mke ndani watu wazima,mashehe,wachungaji na mapadri wakiingila ndoa inaendelea lakini mtu kauziwa mbuzi kwenye gunia, pia kumbukeni wengine wana bikra za kweli lakini hawana tabia njema na hawafai hata kidogo kuwa wake za watu kwa sababu hata kuwa na bikra mpaka kuolewa ama kwa muda mrefu huwa si matakwa ya waaasichana wengi, bali wasichana huwa wana malengo ya kutoa bikra yao kama zawadi kwa mvulana wanaempenda zaidi na kwa dhati kama watakuwa katika umri wa kujitambua,kwa mkutadha huo wengi hutoa bikra zao kwa wanaowapenda lakini hilo halimzuii msichana kumpenda mwingine kama watahitilafiana na huyu aliyembikiri, wasichana wengi wanaweza kukaa na bikra kutokana na mazingira ya kubanwa zaidi nyumbani na ndio maana ni rahisi zaidi kumpata msichana bikra ambaye bado anaishi na wazazi kwa kubanwa kuliko bikra ambaye anaishi katika mazingira huru hata kama ni nyumbani,na huko shuleni kwa kiasi fulani wapo wachache kufikia form six na hao wote watapoteza bikra zao mwaka wa kwanza wa masomo iwe chuo kikuu ama chuo cha kawaida kwa kuwa mazingira ni huru. kwa hiyo bikra haifai kutumiwa kama kielelezo cha maadili na tabia ila kinaweza kuwa ni kielelezo cha msichana kubanwa zaidi nyumbani.
HUU UJUMBE WANGU WA 2013 MAHUSUSI KWA WANAUME WAPENDA BIKRA KULIKO KITU KINGINE.
 
Sidhani kama kuna mwanaume anaangalia bikra now days. Watu wanaanza mapenzi std 5 utapata bikra kweli.

kila demu unayekutana naye atakwambia wewe ni bf wake wa pili.
si ndo maana wanatengeneza za bandia ama za kichina kwa kuwa bado zina soko kweli kweli na wahitaji wake bado ni wengi sana
 
Kweli mkuu waambie hao wapenda bikra jmn,THAMAN YA MWANAMKE YE MWENYEWE JINSI ALIVYO...sio mbaya lakn endeleeni kutafta za kabaang labda ..
 
Hata maana ya bikra hujui?!

Kajifunze kwanza sio unatujazia pumba humu
hebu zungumza kama una akili, maana ya bikra uijuayo wewe yenye tofauti na ninayoingolea ni ipi?bainisha kwa hoja, vinginevyo utaungana na wajinga wengine waokosoa mambo bila maelezo ama vielelezo
 
hebu zungumza kama una akili, maana ya bikra uijuayo wewe yenye tofauti na ninayoingolea ni ipi?bainisha kwa hoja, vinginevyo utaungana na wajinga wengine waokosoa mambo bila maelezo ama vielelezo


Ushaniita mjinga

Nyani kweli haoni.........
 
Hiyo ni nadharia yako usilazimishe wote tuikubali

Mimi naweza nkaiprove 100% wrong!! Sina mda tu!
 
hahahaha wewe kijana unajidanganya. bikra ni muhimu...it shows that she is a virtuous lady full of life and morals and very patient...two things that am sure every man desires their wife to have. wewe mwanamke akishavuliwa chupi na sio bikra tayari inakwambia kuwa kuna probability kubwa sana ya huyo kugawa tamu ata akiwa kaolewa na ushahidi tunao jamani kila leo tunagegeda wake za watu. so dnt u try trivialize the value of virginity!!!
 
Ushaniita mjinga

Nyani kweli haoni.........

ijakuita mjinga ila hujaelewa ama huelewi, soma tena nimesema "bainisha kwa hoja, vinginevyo utaungana na wajinga wengine waokosoa mambo bila maelezo ama vielelezo"
 
Bikra zilipendwa, nowdays tunaendeleza wengine walipoishia nikikuta washatoa zote hadi ya minkabang nafurahi sana kwani wamenirahisishia kupata burudani za kufa mtu bila ktumia nguvu na akili nyingi
 
si ndo maana wanatengeneza za bandia ama za kichina kwa kuwa bado zina soko kweli kweli na wahitaji wake bado ni wengi sana

Kule Uarabu mwenye duka alikuwa amefunga mlango kumbe wametoboa nyuma na kuiba.
Teh teh teh teh.
 
Usitake kutupotosha hapa, sisi tunaozitaka bikra tunajua umuhimu. Ukimtoa mwanamke bikra atakutunzia heshima popote akuonapo hata akiwa kwenye ndoa na ndio maana tunazosaka usiku na mchana
 
hahahaha wewe kijana unajidanganya. bikra ni muhimu...it shows that she is a virtuous lady full of life and morals and very patient...two things that am sure every man desires their wife to have. wewe mwanamke akishavuliwa chupi na sio bikra tayari inakwambia kuwa kuna probability kubwa sana ya huyo kugawa tamu ata akiwa kaolewa na ushahidi tunao jamani kila leo tunagegeda wake za watu. so dnt u try trivialize the value of virginity!!!
ili nieleweke zaidi kwa hoja yako dhaifu sana ngoja niweke maelezo tofauti kidogo kukuthibitishia kuwa hata ukimkuta bikra haisaidii kuepuka kuzini nje ya ndoa.
zamani katika jamii nyingi mwanamke aliyebikiriwa alikuwa haolewi na kwa hiyo wengi walio olewa kwa zaidi ya 90% walikuwa mabikira, lakini ni zamani hiyo hiyo ndio maneno kama kuzini yalikuwepo ama yalianza na hii inaonyesha kuzini ni kariba isiyotegemea kabisa kitu kiitwacho bikra,hiyo hiyo zamani neno ugoni ama kushika ugoni lilianza hii pia inaonyesha kuwa ugoni umekuwepo toka enzi na enzi, mimi ni msukuma na tuna msemo wa wahenga usukumani usemao "unhimhilija adi'na ngunda" huu msemo ni wa wahenga wa kisukuma wa toka enzi na enzi na tafsir yake ni kwamba "MPALILIAJI HANA SHAMBA" mpaliliaji anayelengwa hapa ni yule kibarua kuwa kwa kawaida hana shamba na shamba ni la mwenye shamba, msemo huu ulilenga watoto ndani ya ndoa wanaozaliwa baada ya mke kuzini nje ya ndo na wasukuma wakasema hawa watoto wa aina hii bado ni halali kwa mwenye mke na aliyezini hana kitu ama hapati kitu hata kama kasidia kupatikana kwa mtoto, maelezo na msemo huu ni ushahidi mwingine tu kuwa ugoni na kuzini umekuwepo toka enzi na enzi hata wakati ambapo wanawake waliolewa wakiwa na bikra,kama haitoshi nahamia kwenye biblia, kule toka agano la kale zimeelezwa sheria za wagoni kama kupigwa mawe mpaka kufa na kipindi kile mwanamke asiye bikra haolewi kama ilivyokuwa katika historia ya mama bikra Maria, ila JOSEPH aliamua kumfichia aibu kwa kutoeleza kuwa hakuwa bikira, huu wote ni ushahidi kuwa hata wanawake wakiolewa na bikra haisaidii kuzuia kuzini
 
Usitake kutupotosha hapa, sisi tunaozitaka bikra tunajua umuhimu. Ukimtoa mwanamke bikra atakutunzia heshima popote akuonapo hata akiwa kwenye ndoa na ndio maana tunazosaka usiku na mchana

mwanamke yoyote ukilala naye hata kama si bikra atakushemu na kukutunzia hiyo heshima unayoitaka, upo ushahidi pia kuna wengine wameishia kubikiri tu na hawakupewa tena hasa kibinti kikiumia na hakitataka tena na kitamchukia milele,binafsi nimeshudia hili.
 
ili nieleweke zaidi kwa hoja yako dhaifu sana ngoja niweke maelezo tofauti kidogo kukuthibitishia kuwa hata ukimkuta bikra haisaidii kuepuka kuzini nje ya ndoa.
zamani katika jamii nyingi mwanamke aliyebikiriwa alikuwa haolewi na kwa hiyo wengi walio olewa kwa zaidi ya 90% walikuwa mabikira, lakini ni zamani hiyo hiyo ndio maneno kama kuzini yalikuwepo ama yalianza na hii inaonyesha kuzini ni kariba isiyotegemea kabisa kitu kiitwacho bikra,hiyo hiyo zamani neno ugoni ama kushika ugoni lilianza hii pia inaonyesha kuwa ugoni umekuwepo toka enzi na enzi, mimi ni msukuma na tuna msemo wa wahenga usukumani usemao "unhimhilija adi'na ngunda" huu msemo ni wa wahenga wa kisukuma wa toka enzi na enzi na tafsir yake ni kwamba "MPALILIAJI HANA SHAMBA" mpaliliaji anayelengwa hapa ni yule kibarua kuwa kwa kawaida hana shamba na shamba ni la mwenye shamba, msemo huu ulilenga watoto ndani ya ndoa wanaozaliwa baada ya mke kuzini nje ya ndo na wasukuma wakasema hawa watoto wa aina hii bado ni halali kwa mwenye mke na aliyezini hana kitu ama hapati kitu hata kama kasidia kupatikana kwa mtoto, maelezo na msemo huu ni ushahidi mwingine tu kuwa ugoni na kuzini umekuwepo toka enzi na enzi hata wakati ambapo wanawake waliolewa wakiwa na bikra,kama haitoshi nahamia kwenye biblia, kule toka agano la kale zimeelezwa sheria za wagoni kama kupigwa mawe mpaka kufa na kipindi kile mwanamke asiye bikra haolewi kama ilivyokuwa katika historia ya mama bikra Maria, ila JOSEPH aliamua kumfichia aibu kwa kutoeleza kuwa hakuwa bikira, huu wote ni ushahidi kuwa hata wanawake wakiolewa na bikra haisaidii kuzuia kuzini



Usiwe unamtaja Maria kwenye upuuzi wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom