RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,481
- 2,537
Dunia ya sasa ukiunga mkono na kuwa mshirika wa masuala ya ovyo ndio utapendwa na kuwa mtu wa watu.
Kwa m/Mme: ukiwa Malaya,mhuni, misifa km yote, Basi ndio utapendwa Na wanawake wajinga walio wengi.
Kwa m/mke: ukiwa mgawaji (ubagui wa kumchanulia ua lako) Basi wew utapendwa na kila mvulana(sio mwanaume) tena utakua wa kuitwa dada yao wa kitaa, hata ukikooa watakuuliza vipi sister tukupeleke hospitali na watakuwa na wew bega kwa bega kwa kila jambo lako mpaka utajihisi mwenye bahati kwenye Dunia hii...
Yapo mengi ya kuyazungumzia Ila kwa Leo nimewasilisha haya tu.Ruksa kuongeza na lako ulilo nalo na maoni kuchangulia.
Note: Sio kila anayezungumza kwa hisia Basi ukahisi labda katendwa au hana pesa. Wengine ni great thinkers tu kama mimi.
Kwa m/Mme: ukiwa Malaya,mhuni, misifa km yote, Basi ndio utapendwa Na wanawake wajinga walio wengi.
Kwa m/mke: ukiwa mgawaji (ubagui wa kumchanulia ua lako) Basi wew utapendwa na kila mvulana(sio mwanaume) tena utakua wa kuitwa dada yao wa kitaa, hata ukikooa watakuuliza vipi sister tukupeleke hospitali na watakuwa na wew bega kwa bega kwa kila jambo lako mpaka utajihisi mwenye bahati kwenye Dunia hii...
Yapo mengi ya kuyazungumzia Ila kwa Leo nimewasilisha haya tu.Ruksa kuongeza na lako ulilo nalo na maoni kuchangulia.
Note: Sio kila anayezungumza kwa hisia Basi ukahisi labda katendwa au hana pesa. Wengine ni great thinkers tu kama mimi.