Ujinga ni kujiona mbabe wakati unacheza unfair

Ujinga ni kujiona mbabe wakati unacheza unfair

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
1,885
Reaction score
4,013
Kam akweli unajiamini unaweza na mpinzani wako hakuwezi kwa nini upigane naye huku umemfunga kamba za mikono na miguu? mbaya zaidi majaji wa pambano umewachagua wewe na unawalipa?
cha kuchekesha eti mwishoni wewe na mashabiki zako wanashangalia ushindi,kama kweli unajiamini,mfungulie kamba weka majaji walio fair halafu tuone mpambano wa kweli.
 
Unamaanisha mechi iliyoisha hivi punde ya mshindi wa 3 cosafa kati ya stars na lesotho?
au
pambano lililokuwa na utata kati ya pacguiao na mcgregory?
nadhani kuta kitu zaidi unamaanisha
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]
 
Kama unajiona mnyonge kwa nini utake kupambana na mbabe?

Katafute saizi yako upambane naye.
 
Kama unajiona mnyonge kwa nini utake kupambana na mbabe?

Katafute saizi yako upambane naye.
images
 
Ni muoga sana. Angekuwa anajiamini asingekuwa anawaza wapinzani wake kila siku. Kile kibano cha mafuriko ya mwaka 2015 yalikuwa ni salamu tosha kwamba wapinzani wanakubalika zaidi.
 
Unamaanisha mechi iliyoisha hivi punde ya mshindi wa 3 cosafa kati ya stars na lesotho?
au
pambano lililokuwa na utata kati ya pacguiao na mcgregory?
nadhani kuta kitu zaidi unamaanisha
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]
Kwan hili shindano la pacyaoh alishinda nan kijana nijuze
 
Ni upuuzi wa hali ya juu ni sawa na kupambana na kuku aliye kwenye banda lako ,,alafu unaigiza unanguvu na akili sana ndo maana umemkata wakati kabanda kenyewe kadogo tuu ukiingiza mkono unamshika kuku
 
Mleta Uzi tupo pamoja, Mm hadi najuta kuzaliwa Tanzania! Ila tusikate tamaa:"Time will tell"
 
Back
Top Bottom