MsamiKowalski
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 285
- 56
Ujerumani imeipatia Tanzania ndege mbili kwa ajili za kufanyia doria katika mbuga zetu ili kukabiliana na ujangili, ndege zitapitia nchini Kenya na kisha kuja Tanzania.
Hayo yamesemwa na waziri wa ujerumani alipofanya ziara yake Tanzania katika mji wa Arusha.
Chanzo: Radio One Stereo
Hayo yamesemwa na waziri wa ujerumani alipofanya ziara yake Tanzania katika mji wa Arusha.
Chanzo: Radio One Stereo