Ujenzi wa ovyo wa makutano ya Mbezi mwisho Tatizo ni nini? Tanroad

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Tanroad wanajua sisi wananchi hatujui kizuri wala kibaya, wanajua wananchi ni limbukeni chochote wanachojenga sisi tunashangilia.

Pia wanajua uelewa wetu mdogo unawasaidia kujipatia sifa za kijinga.

Mfano flyover ya TAZARA, tumesifia lakini ni kitu kidogo sana kwenye nchi nyingine.

Nirudi kwenye mada, ukiangalia michoro na ya ujenzi unaoendelea wa barabara ya Kimara, Kibaha, Mbezi mwisho ni majanga.

Tanroad kushindwa kufikiria suluhisho kwenye makutano ya Goba road vs Morogoro road ni ujinga wa hali ya juu sana.

Kuweka mataa pale ni uvivu wa kufikiri.

Nadhani haya ndio matatizo yaliyosababisha kufikia kuweka mataa na baada ya miaka 2 itabidi kubomoa miundo mbinu yote pale Mbezi maana kutakua na foleni ya kufaa mtu.

1. Inawezekana Tanroad haina watalaamu wenye uelewa mzuri wa miundombinu upande mqingine wa dunia wanafanyaje.

2. Inawezekana kuna uongozi wa kiimla ukitaka jambo hakuna mwingine kuingilia.

3. Kukosekana kwa fedha za kutosha kutokana na mradi kutopata maandalizi ya kutosha.

4. Kukosekana kwa consultant mwenye uelewa mzuri wa miundombinu mikubwa (highway)

5. Upigaji

6. Kutojali fedha za walipa kodi .

Hata tusiokuwa na elimu ya uhandisi tunaweza toa solution.

Mfano pale zinapo kutana barabara Goba, Kinyerezi na Morogoro road

Morogoro road ingeshushwa chini (underpass road). Naamananisha ichimbwe chini zaidi goba kinyerezi ipite juu yake bila kuiinua (overpass road).

Round about zibaki kama zilivyo sasa ila hakuna mataa wala traffic officer.




Ingine hine hio
 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka Kimara mpaka Kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda/ kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka.

Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa Mbezi mwisho hivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizigo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#
 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka kimara mpaka kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda / kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka. Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa mbezi mwisho ivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizingo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#
Jamaa yupo sahihi. Angalizo lake ni muingiliano wa magari ya Morogoro road na yale ya Goba to Kinyerezi road. Kuzuia foleni isiyo na sababu kulitakiwa kuwe na fly over badala ya mfumo wa taa za kuongozea magari. Fikiria magari ya njia sita kusimama kusuburi magari ya njia mbili kuvuka kwenda upande wa pili!! Kosa la mleta uzi hakupaswa kumlaumu mkandarasi sababu anafuata mchoro aliopewa. Mpaka leo tunahangaika na Jangwani kwa sababu ya wasanifu kutozingatia athari kama hizi.
 
Kweli kabisa, na mimi nilifikiria hivyo hivyo. Hongera bado hawaja chelewa.
Tanroad wanajua sisi wananchi hatujui kizuri wala kibaya.. wanajua wananchi ni lombukeni chochote wanacho jenga sisi tunashangilia.

Pia wanajua uelewa wetu mdogo unawasaidia kujipatia sifa za kijinga.

Mfano flyover ya tazara.. tumesifia lakini ni kitu kidogo sana kwenye nchi nyingine.

Nirudi kwenye mada.. ukiangalia michoro na ya ujenzi unaoendelea wa barabara ya Kimara kibaha.. mbezi mwisho ni majanga

Tanroad kushindwa kufikiria suluhisho kwemye makutano ya goba road vs morogoro road ni ujinga wa hali ya juu sana.

Kuweka mataa pale ni uvivu wa kufikiri..

Nadhani haya ndio matatizo yaliyosababisha kufikia kuweka mataa na baada ya miaka 2 itabidi kubomoa miundo mbinu yote pale mbezi maana kutakua na foleni ya kufaa mtu.

1. Inawezekana Tanroad haina watalaa wenye uelewa mzuri wa miundombinu upande mqingine wa dunia wanafanyaje.

2. Inawezekana kuna uongozi wa kiimla ukitaka jambo hakuna mwingine kuingilia.

3. Kukosekana kwa fedha za kutosha kutokana na mradi kutopata maandalizi ya kutosha.

4. Kukosekana kwa consultant mwenye uelewa mzuri wa miundombinu mikubwa ( highway)

5. Upigaji

6. Kutojali fedha za walipa kodi .


Hata tusiokuwa na elimu ya uhandisi tunaweza toa solution.

Mfano pale zinapo kutana barabara goba kinyerezi na morogoro road

Morogoro road ingeshushwa chini (underpass road). naamananisha ichimbwe chini zaidi goba kinyerezi ipite juu yake bila kuiinua ( overpass road).

Round about zibaki kama zilivyo sasa.. ila hakuna mataa wala traffic officer.

 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka kimara mpaka kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda / kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka. Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa mbezi mwisho ivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizingo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#
Acha ulimbukeni
 
Jamaa yupo sahihi. Angalizo lake ni muingiliano wa magari ya Morogoro road na yale ya Goba to Kinyerezi road. Kuzuia foleni isiyo na sababu kulitakiwa kuwe na fly over badala ya mfumo wa taa za kuongozea magari. Fikiria magari ya njia sita kusimama kusuburi magari ya njia mbili kuvuka kwenda upande wa pili!! Kosa la mleta uzi hakupaswa kumlaumu mkandarasi sababu anafuata mchoro aliopewa. Mpaka leo tunahangaika na Jangwani kwa sababu ya wasanifu kutozingatia athari kama hizi.
Una akili sana
 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka kimara mpaka kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda / kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka. Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa mbezi mwisho ivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizingo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#
Mkuu, wataalamu hawako Tanroad na Wizarani tu.

Makosa ya kiutalamu huwa yanatokea mara nyingi tu na siyo Tanzania peke yake!
 
Mkuu, wataalamu hawako Tanroad na Wizarani tu.

Makosa ya kiutalamu huwa yanatokea mara nyingi tu na siyo Tanzania peke yake!
Lakini Tanzania yamezidi.. unatemgemeza kitu ambacho baada ya mwaka unakihunja.

Miaka zaidi ya 10 tulikua tunajua tunakuja kujenga exchange pale ubungo.. ukaja mradi wa mwendokadi wqkajenga kituo karibu kabisa na mataa.. mwisho wa siku kimekuja kuondolewa kwa gharama za kodi ya wananchi.

Magufuli anamsemo mmoja.. usikubali kupewa koti lenye chawa kwa sababu unasaidiwa..

Tanroad ndio wenye jukumu la kuhakiki design zote za barabara , madaraja, na sasa viwa ja vya ndege.

Tunahitaji miundo mbinu siyo tuu ya kupitisha magari bali inatoa suluhu ya foleni na changamoto nyingine kama usalama wa watumiaji.
 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka kimara mpaka kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda / kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka. Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa mbezi mwisho ivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizingo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#

Siku nyingine jaribu kuficha ujinga wako
 
Tanroad wanajua sisi wananchi hatujui kizuri wala kibaya.. wanajua wananchi ni lombukeni chochote wanacho jenga sisi tunashangilia.

Pia wanajua uelewa wetu mdogo unawasaidia kujipatia sifa za kijinga.

Mfano flyover ya tazara.. tumesifia lakini ni kitu kidogo sana kwenye nchi nyingine.

Nirudi kwenye mada.. ukiangalia michoro na ya ujenzi unaoendelea wa barabara ya Kimara kibaha.. mbezi mwisho ni majanga

Tanroad kushindwa kufikiria suluhisho kwemye makutano ya goba road vs morogoro road ni ujinga wa hali ya juu sana.

Kuweka mataa pale ni uvivu wa kufikiri..

Nadhani haya ndio matatizo yaliyosababisha kufikia kuweka mataa na baada ya miaka 2 itabidi kubomoa miundo mbinu yote pale mbezi maana kutakua na foleni ya kufaa mtu.

1. Inawezekana Tanroad haina watalaa wenye uelewa mzuri wa miundombinu upande mqingine wa dunia wanafanyaje.

2. Inawezekana kuna uongozi wa kiimla ukitaka jambo hakuna mwingine kuingilia.

3. Kukosekana kwa fedha za kutosha kutokana na mradi kutopata maandalizi ya kutosha.

4. Kukosekana kwa consultant mwenye uelewa mzuri wa miundombinu mikubwa ( highway)

5. Upigaji

6. Kutojali fedha za walipa kodi .


Hata tusiokuwa na elimu ya uhandisi tunaweza toa solution.

Mfano pale zinapo kutana barabara goba kinyerezi na morogoro road

Morogoro road ingeshushwa chini (underpass road). naamananisha ichimbwe chini zaidi goba kinyerezi ipite juu yake bila kuiinua ( overpass road).

Round about zibaki kama zilivyo sasa.. ila hakuna mataa wala traffic officer.

Tusiishie kuwa laumu wataalamu wetu mimi naamini tunao wataalamu bobezi kuhusu hiyo miundombinu

Analizo kwako mleta mada hizi ulijaribu kuchungulia na kabajeti walikopewa???

Bajeti ni swhwmu muhimu sana katika kupanga na kuamua mahali fulani pawekwe nini inawezekana walifikiria na wanalijua hilo labkuweka miondombinu ya kupunguza ama kuondoa tatizo hilo ila bajeti ikawa kikwazo kwao

Nawasilisha
 
Ushauri mzuri. Lakini pia barabara inayokwenda kinyerezi kutoka kwenye mzinguko mkuu ni nyembamba sana na zile tound about za pale ilipokuwa CRDB zamani na ile ya kuelekea kinyerezi ni ndogo sana kiasi kwamba gari ndefu zinakanya kingo za mzinguko.
 
Kwahiyo unajiona unaakili kuliko wataalam wetu? Mambumbumbu huwa na midomo mirefu. Barabara kutoka kimara mpaka kibaha ni nane (8). Mbili za katikati za mwendo kasi na tatu kwa tatu za magari ya kwenda / kurudi bado hazijamalizika kujengwa unaanza kuropoka. Kuna stendi ya mabasi ya mikoani inajengwa mbezi mwisho ivyo mabasi ya mikoani yatakuwa hayafiki mjini ili kupunguza foleni. Kuna SGR na reli ya kati kwa ajili ya kubeba mizingo kupunguza malori alafu unaanza kubwabwaja maneno na kisimu chako cha tecno! Mxuuu&%%$#
We ndy umechemka

Ova
 
Natamani watu wa TANROAD wangekuwa wana mawazo kama yako.Kuna TAZARA,MAGOMENI,VETA,FIRE MOROCO,MWENGE wala haihitaji uchawi kutengeneza kitu kama hicho.Wenzetu hapo ETHIOPIA wametupita kwenye hii sector ya ubunifu.
Waache kulala waige picha hii
 
Lakini Tanzania yamezidi.. unatemgemeza kitu ambacho baada ya mwaka unakihunja.

Miaka zaidi ya 10 tulikua tunajua tunakuja kujenga exchange pale ubungo.. ukaja mradi wa mwendokadi wqkajenga kituo karibu kabisa na mataa.. mwisho wa siku kimekuja kuondolewa kwa gharama za kodi ya wananchi.

Magufuli anamsemo mmoja.. usikubali kupewa koti lenye chawa kwa sababu unasaidiwa..

Tanroad ndio wenye jukumu la kuhakiki design zote za barabara , madaraja, na sasa viwa ja vya ndege.

Tunahitaji miundo mbinu siyo tuu ya kupitisha magari bali inatoa suluhu ya foleni na changamoto nyingine kama usalama wa watumiaji.
Mkuu kwa maandiko yako wewe utakuwa ama ni QS au Civil Engineer ama Architect
 
Back
Top Bottom