Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,743
- Thread starter
- #41
Maji nitachimba kisima na kutumia pump yak kupeleka tenkini..then supply insideHiyo nyumba inahitaji mfumo wa maji safi na maji taka built from ground. Sidhani kama anategemea mfumo wa manispaa/public.
Swali langu la kwanza (nataka niende taratibu, ili niweze kujifunza kitu) Unaweza kuniambia/kukadiria gharama ya mfumo wa maji safi na majitaka?
a. Septic tank na karo au at least karo peke yake.
b. Kisima (na pump yake).
c. Elevated tank (tank na tower)
d. Pipes zote kwa ujumla
e. Fittings za bafuni, chooni (vyoo viwili) na jikoni.