Mura MM.
Mkuu hapo unakosea ungesema 2010 - 2012 au umesahau Kamanda Lema ana kesi mahakama kuu imemkalia kooni hadi anakodisha Toyo zimsindikeze mahakamani ahaaa aaa.
Mura umesahau nilimsifu sana alipoongoza ibada ya kumfufua mfu ahaa.
Kwahiyo wewe na akili zako unatarajia hao jamaa wa Dubai watatujengea jiji Arusha kweli unaota.. kumbuka Kikwete alisaini mkataba na wa-Malasia tangu May 2010 (Bofya hapa) mpaka leo hakuna chochote zaidi ya porojo, kumbuka chama kilekile kimechoka kisera na kimtazamo sasa sijui mradi huu utakuwa na tofauti gani na ule wa Mchikichini.!!Takuja mkuu, ngoja kwanza jamaa wa Dubai waanze ujenzi wa Jiji letu la Arusha
Wewe Rejao umechangia ngapi mpaka umekuwa na ubavu wa kuwaambia wenzako hivyo.. au ndio wale wale ukitoa unataka kila mmoja ajue.Bora umwambie. Huyu jamaa ananikera sana na uandishi wake. Anachafua server ya JF
Jambo la msingi na la ujenzi ambalo Mh. Lema anatakiwa alisimamie ni zile ahadi zake za kujenga Machinga Compelex mbili pamoja na barabara za juu alizoahidi kwa wapiga kura wake!
Ha ha haaa,,, Ngongo bana.
Umeona sasa sifa unazompa mheshimiwa mbunge wako!?
Hilo la kesi naona linawapa matumaini makubwa anti chadema wote, especially ccm, na hapo ndipo una reveal your position kwamba hauko huru. Ha ha haa!!
Lema hajawahi kuhaidi barabara za juu labda aliku haidi wewe na familly yako kikwete ndiye alihaidi hayo acha kupotosha watu tunakaa arusha na kampeni zote za Lema tulikuwa tunauzuria hata ya Batilda nilikuwa nauzuria acha ushabiki wewe msukule wa nape
Bora umwambie. Huyu jamaa ananikera sana na uandishi wake. Anachafua server ya JF
Lema hajawahi kuhaidi barabara za juu labda aliku haidi wewe na familly yako kikwete ndiye alihaidi hayo acha kupotosha watu tunakaa arusha na kampeni zote za Lema tulikuwa tunauzuria hata ya Batilda nilikuwa nauzuria acha ushabiki wewe msukule wa nape
Kwahiyo wewe na akili zako unatarajia hao jamaa wa Dubai watatujengea jiji Arusha kweli unaota.. kumbuka Kikwete alisaini mkataba na wa-Malasia tangu May 2010 (Bofya hapa) mpaka leo hakuna chochote zaidi ya porojo, kumbuka chama kilekile kimechoka kisera na kimtazamo sasa sijui mradi huu utakuwa na tofauti gani na ule wa Mchikichini.!!
Wewe Rejao umechangia ngapi mpaka umekuwa na ubavu wa kuwaambia wenzako hivyo.. au ndio wale wale ukitoa unataka kila mmoja ajue.
Huwezi kupiga ili la ahadi za Lema ndio maana umeona wote wale wapambe wa Lema, kina Crashwise, Feedback, LAT, Kileo, na wengine wamekaa kimya kwenye ili, ni wewe tu mateka wa Lema uliojitoa muhanga kupinga hizo ahadi za Lema.
Naweza kupinga kwani mimi mwenywewe nilikuwa kwenye kampeni za Lema acha ujinga mbona umefanya ujinga ndiyo mtaji wako kweli sasa nakubali wewe wewe ni mjinga
Tuambie ahadi ya kujenga barabra za juu aliitoa akiwa wapi au masaburi yanakusumbua..Huwezi kupiga ili la ahadi za Lema ndio maana umeona wote wale wapambe wa Lema, kina Crashwise, Feedback, LAT, Kileo, na wengine wamekaa kimya kwenye ili, ni wewe tu mateka wa Lema uliojitoa muhanga kupinga hizo ahadi za Lema.
Tatizo lako unachanganya ahadi za Godbless Lema na Kikwete.....Wewe endelea kutoa matusi lakini wana Arusha wanataka Machinga Complex mbili na barabara za juu.
Mnafiki Ngongo, Nini kina msukuma Lyimo kufanya hayo.............mgafilika vipi andasi imekukamata haya barabara za juu tunaziondoa vipi Machinga Complex ?,Wapi Hospital tatu ?.Hili suala la Kaloleni limeanzia Jiji chini ya Meya Lyimo na linamalizwa na Lyimo Mbunge hayupo kabisa sisi bado tunasubiri ahadi zake.
Kwa hiyo JF ni walio changia...Mkuu JF sio sehemu ya porojo ebu changia kwanza JF kama una pesa!
mgafilika vipi andasi imekukamata haya barabara za juu tunaziondoa vipi Machinga Complex ?,Wapi Hospital tatu ?.Hili suala la Kaloleni limeanzia Jiji chini ya Meya Lyimo na linamalizwa na Lyimo Mbunge hayupo kabisa sisi bado tunasubiri ahadi zake.
Kwani anataka kusifiwa!?....kwa ubunge Arusha sahauni CCM na TLP hata mkiunganda hamtafikia kura za Lema...Mura MM,
Yaani nikimsifu taabu nikimkosoa taabu duh kazi kweli kweli.Mkuu Mura hapana labda umenielewa vibaya Lema akishinda kesi nitampongeza bila kinyongo akishindwa kwaajili ya uropokaji wake nitamlaumu yeye na chama chake kwa kuendekeza siasa za maji taka ila kwa sasa kesi imemlemea kweli kweli sijui wale madereva wa Toyo watamsaidia.
Hao wanasiasa wanatekeleza mipango yao wenyewe au ni hiyo iliyoandaliwa na mipango miji?