1academ
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,973
- 2,497
Sources pale Wizarani zinasema mabwawa kwenye mto mara ambao ni lifeline kwenye Serengeti ecostsytem ziko kwenye finalisation, na ndani ya the coming weeks mzee wa Kenyatta atazindua kazi rasmi.
Tumpe hongera kwa kusimama kidete kwa hili swalaa, maana kelele zipo nyingii ila nyingi ni toka kwamabeberu eti Serengeti itakufaaa😂lile eneo la mara tutaligeuza kuwa eneo kubwa kabisa la ukulima wa unyumyiziaji. Lazima jamii za wafugaji zifaidi, upande wa Serengeti waanze kujipanga na visima.
The Serengeti will die if Kenya dams the Mara River
Tumpe hongera kwa kusimama kidete kwa hili swalaa, maana kelele zipo nyingii ila nyingi ni toka kwamabeberu eti Serengeti itakufaaa😂lile eneo la mara tutaligeuza kuwa eneo kubwa kabisa la ukulima wa unyumyiziaji. Lazima jamii za wafugaji zifaidi, upande wa Serengeti waanze kujipanga na visima.