Kuna ubaya?Mheshimiwa "raisi" wetu ni noma. Hiyo hospital ya rufaa ya Chato ikikamilika itaweka record kwa kanda ya ziwa. Maana ukiacha Dar ambako hata Amana nayo ni hospital ya rufaa basi wilaya ya Chato ndiyo pekee nchini isiyo na hadhi ya makao makuu ya mkoa itakayo kuwa na hospital ya rufaa.
Namwomba raisi akikamilisha CIA na hii hospital basi ajenge na mwendokasi kabisa Chato maana taa za barabarani tayari zipo na pia aboreshe bandari ya Chato iwe kubwa kuliko zote kanda ya ziwa.
It's our turn to eat! Read me between the lines!