Katiba ipi!Ikijengwa wilayani kuna kipengele cha katiba kilichovunjwa?
Serikali haiku-dispute hoja ya wapinzani kwamba bajeti ya bilioni 39 haikuwa imepitishwa na Bunge!Unao ushahidi gani kwamba fedha zinazojenga Chato hazina baraka za bunge?.
Unao ushahidi gani kwamba pesa zinazopatikana kwa maana ya mapato hazina mgawanyo sahihi wa matumizi kwa kila kona ya Tanzania?.
Ziongelei relevance ya bunge, naongelea uwezo wa mbunge mmoja mmoja katika kutafuta uwekezaji kwa ajili ya maeneo wanayotoka, na sio kubakia kulalamikia kidogo kinachogawanywa kwa wote.
KCMC, Marangu na Kibong'oto. Milioni 4 mkoa mzima angalia sensa. Ilichukua part ya Mwz na part ya Shinyanga. Ijengwe wapi haina maana inahudumia watu wote. Airport ziko KIA na Arusha na Moshi. Geita hakuna.1. Kwa ninavyoelewa miye, Hospitali ya Rufaa Kilimanjaro ni KCMC tu, nyingine 2 ni zipi?
2. Hao watu milioni 4, ni wa Wilaya ya Chato au Mkoa wote wa Geita?
3. Kama Geita (Mji au Mkoa) haina "hata Hospitali ya Wilaya", (kitu ambacho SIYO kweli), kwanini Hospitali hiyo ya RUFAA isijengwe Geita Mjini ambako ni Makao Makuu ya Mkoa?
4. Je, Raisi angekuwa natoka sehemu nyingine ya Nchi (mfano Kankoko, Kondoa, Kisarawe, Nanyumbu, Momba, nk), bado Hospitali hii ya RUFAA ingejengwa Chato?
Nimesahau. KIA ilihengwa wakati Waziri wa Fedha ni Mtei na Waziri Mkuu Msu1. Kwa ninavyoelewa miye, Hospitali ya Rufaa Kilimanjaro ni KCMC tu, nyingine 2 ni zipi?
2. Hao watu milioni 4, ni wa Wilaya ya Chato au Mkoa wote wa Geita?
3. Kama Geita (Mji au Mkoa) haina "hata Hospitali ya Wilaya", (kitu ambacho SIYO kweli), kwanini Hospitali hiyo ya RUFAA isijengwe Geita Mjini ambako ni Makao Makuu ya Mkoa?
4. Je, Raisi angekuwa natoka sehemu nyingine ya Nchi (mfano Kankoko, Kondoa, Kisarawe, Nanyumbu, Momba, nk), bado Hospitali hii ya RUFAA ingejengwa Chato?
Itakuea kama catalunya itabidi iitwe chatolunyaBasi si muda mrefu itakuwa nchi kamili
Huyo jamaa uliyemtaja is an idiot. Tangu aje hoja zake za kijinga kuhusu tribalism nimemdharau mwanzo mwisho na kama tribalist kama yeye wana mawazo kama yake nchi imekwishaPascal Mayalla njoo uone na hii!!
Mkuu achana na hayo mapopo ya uviciciemu. Hayanaga hoja kama makondoo mwitu.Maelezo gani Mkuu unataka zaidi ya hiyo picha? Mbona picha hiyo ina maelezo ya kutosha kujua huu uzi unastahili kuwepo kwenye jukwaa lipi?
Dah nimecheka sana. Hiki ni kipaji cha level nyingine kabisa.Salamu Chato, umejaa neema,
Magumashi yu nawe.
Umebarikiwa kuliko wilaya zote,
Na Magumashi, mzao wa ardhi yako, amebarikiwa.
Chato Takatifu, Wilaya ya Magumashi,
Utuombee sisi wakosefu,
Sasa na saa ya kutumbuliwa kwetu.
Amina.
Wewe acha kudanganya wajinga, mbeya na hizo unazo sema njombe lini zitakamilika?Bugando ni ya taasisi ya dini kama ilivyo KCMC ya Moshi.
Kusini kuna Mbeya ni ya Rufaa na ipo siku nyingi.
Mtwara pale mikindani imajengwa ya Rufaa pia na ujenzi unaendelea.
Njombe tayari inajengwa ya Rufaa Mkoa na iujenzi ulizinduliwa na Waziri Mkuu january ya mwaka huu
CHATO NDO NCHI JAMANI, WENGINE MAENDELEO HAMPATI MPAKA JAMAA ANG'OKE NA HATOKI KWA HIYARI MPAKA MUGABELIZATION.Dah nimecheka sana. Hiki ni kipaji cha level nyingine kabisa.
Acha kukurupuka!Wewe acha kudanganya wajinga, mbeya na hizo unazo sema njombe lini zitakamilika?
Unajua hospital ya Musoma imechukua muda gani hadi sasa imekua mazalia ya popo?
Mbona mnatetea ujinga, kwani geita ni chato tu mbona kuna ushirombo, geita yenyewe ambayo iko katikati ya mkoa why chato?
_ Traffic light
_International airport
_ TRA
_ sasa hospital ya rufaa
Chato, why, why, why?