Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
Habari!.
Kutokana na shida na karaha za barabara zetu kuwa mbovu, hivi haiwezekani serikali kuruhusu watu/taasisi/mashirika wakazijenga kwa kupitia mifuko yao wenyewe then baadae hawa watu binafsi wakarudisha gharama walizotumia kwenye ujenzi kwa kuweka ada za kutumia barabara hizo!. Hapo vinawekwa vituo vya kulipia ada hizo kwa kipindi chote cha utozwaji gharama na mara baada ya kumalizika deni, vituo vinatolewa barabara inarudi mikononi mwa serikali. Hizi Road toll/vizuizi ni kama vile vinavyopatikana daraja la kigamboni.
Hii naonelea itasaidia kupunguza mzigo kwa serikali na pia hawa Tanroads wanabaki kuhakikisha zimejengwa kwa kiwango kinachotakiwa hizi barabara pamoja na kuhakikisha kiwango cha kodi kitakachotozwa ni rafiki kwa wananchi!.
Ukitaka juwa wamezielezeaje hizi barabara soma (wikipedia).
"A Private Highway is a highway owned and operated for profit by private industry. Typically, private highways are built by companies that charge tolls for a period while the debt is retired, after which the highway is turned over to government control. This allows governments to fulfill immediate transportation needs despite their own budget constraints, while still retaining public ownership of the roads in the long term."
Haya hivi vituo vya malipo/mageti viaelezewa kama;
"A Toll Road, also known as Tollwayis a public or private road for which a fee is assessed for passage. It is a form of road pricing typically implemented to help recoup the cost of road construction and maintenance.
Toll roads have existed in some form since antiquity, with tolls levied on passing travellers on foot, wagon or horseback; but many modern tollways charge fees for motor vehicles exclusively. The amount of the toll usually varies by vehicle type, weight, or number of axles , with freight trucks often charged higher rates than cars."
Kwa kutumia maana hizo ningependa elimishwa;
Zitto Consigliere Red Giant
Kutokana na shida na karaha za barabara zetu kuwa mbovu, hivi haiwezekani serikali kuruhusu watu/taasisi/mashirika wakazijenga kwa kupitia mifuko yao wenyewe then baadae hawa watu binafsi wakarudisha gharama walizotumia kwenye ujenzi kwa kuweka ada za kutumia barabara hizo!. Hapo vinawekwa vituo vya kulipia ada hizo kwa kipindi chote cha utozwaji gharama na mara baada ya kumalizika deni, vituo vinatolewa barabara inarudi mikononi mwa serikali. Hizi Road toll/vizuizi ni kama vile vinavyopatikana daraja la kigamboni.
Hii naonelea itasaidia kupunguza mzigo kwa serikali na pia hawa Tanroads wanabaki kuhakikisha zimejengwa kwa kiwango kinachotakiwa hizi barabara pamoja na kuhakikisha kiwango cha kodi kitakachotozwa ni rafiki kwa wananchi!.
Ukitaka juwa wamezielezeaje hizi barabara soma (wikipedia).
"A Private Highway is a highway owned and operated for profit by private industry. Typically, private highways are built by companies that charge tolls for a period while the debt is retired, after which the highway is turned over to government control. This allows governments to fulfill immediate transportation needs despite their own budget constraints, while still retaining public ownership of the roads in the long term."
Haya hivi vituo vya malipo/mageti viaelezewa kama;
"A Toll Road, also known as Tollwayis a public or private road for which a fee is assessed for passage. It is a form of road pricing typically implemented to help recoup the cost of road construction and maintenance.
Toll roads have existed in some form since antiquity, with tolls levied on passing travellers on foot, wagon or horseback; but many modern tollways charge fees for motor vehicles exclusively. The amount of the toll usually varies by vehicle type, weight, or number of axles , with freight trucks often charged higher rates than cars."
Kwa kutumia maana hizo ningependa elimishwa;
- Je kuna kipengele Tanroad kinachoruhusu watu binafsi kujenga barabara na wakawalipisha watumiaji wao gharama zao!?, au kama hakipo,
- Je Serikali yetu haionelei ni muda muafaka kukiingiza ili kusaidia jenga barabara za miji yetu?.
Zitto Consigliere Red Giant