Ujenzi wa Barabara ya maziwa-External kwa kiwango cha lami waanza @JJMnyika

Wakazi wa ubungo tumeshasema huyu dogo bungeni atumrudishi kwa kura zetu tena, labda wapange njia zingine.

huwezi kwenda bungeni kutumia lugha za kuudhui na lugha chafu kwa watawala katika kujenga hoja, halafu anaambiwa futa kauli yako uendelee kuchangia ANAGOMA?

wakazi wengi wa Ubungo tumepoteza imani na matumaini na kijana huyu na tunamwambia bungeni tena basi.

Kaa kimya wewe jana nilikuwa pande za pale shunga shunga TANROADS walipoweka kibao cha matengenezo ya hii bara bara na watu wote waliokuwa around the place walikuwa wakimsifia Mnyika kwa kuipigania hiyo bara bara kwahiyo mimi na wao tutampa Mnyika kura zetu. Pia tunamshukuru kwa kutufungua macho kuwa jamaa nidhaifu na kila kukicha tunazidi kuuona udhaifu wa dhaifu.
 
La msingi hapa barax2 inajengwa tumshukuru Mungu kwa yeyote aliyefanikisha azma hii! Wakati ukifika atarudishiwa fadhila awe JK, JJM etc.


Mnyika kazi yake ni kudandia tu, Ndia maana aliwadanganya wasomi eti yeye ana Degree ili apate Ubunge kumbe alishindwa akaishia njiani, SASA ANABAKI ANADANDIA KAZI ZA JEMBE LETU MAKUFULI NA TANROADS,
 
Wakazi wa ubungo tumeshasema huyu dogo bungeni atumrudishi kwa kura zetu tena, labda wapange njia zingine.

huwezi kwenda bungeni kutumia lugha za kuudhui na lugha chafu kwa watawala katika kujenga hoja, halafu anaambiwa futa kauli yako uendelee kuchangia ANAGOMA?

wakazi wengi wa Ubungo tumepoteza imani na matumaini na kijana huyu na tunamwambia bungeni tena basi.

wewe si mkazi pemba? Mambo ya ubungo yanakuhusu nini?
 
Tatizo hapa watajitokeza watu wengine waseme wanapinga ujenzi huo maana utabomoa nyumba zao,,,lakin baadae watasema ooh foleni za Dar zinakera!!
 
Magufuli anazindua vichochoro wakati mwenzake wa kenya barabara anazo zindua zinatisha

Hapa kwetu watu wabishi wabishi, wenzetu Kenya wananchi walikubali kuvunjiwa majumba yao wakalipwa wakaacha barabara zijengwe. Hapa mtu hata mti wake wa Mpapai hataki ukatwe kwa ajili ya barabara.
 
Hongera serikali

Hongera wananchi!kodi zetu ndo zinafanya kazi wengine,(wabunge,serikali n.k) kazi yao kupanga,kuhimiza na kusimamia,
mwananchi kumbuka ukinunua soda,unga,mafuta ya kupikia, simu,redio n.k ukilipa nauli ya daladala,ada ya shule ya mwanao,ukinywa bia,ukivuta sigara, ukilipa huduma ya matibabu hospitali n.k vyoooote hivyo ukifanya ni kwamba indirectly unalipa kodi inayokusanywa na serikali ambayo inatumika kuleta huduma za jamii kama barabara, shule,zahanati, kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali na umma n.k
kwa hiyo si suala la serikali ya chama fulani, au kiongozi fulani kujisifu kuwa eti ndo kafanya hayo!
kwani mtu akichukua pesa yako halafu akanunulia nyumba kwa ajili ya familia yako, atajisifu kuwa ndo yeye kagharamia hiyo nyumba!?
Hata serikali au kiongozi akiomba msaada nje ya nchi kwa ajili ya jambo fulani nchini mathalani kujenga chuo kikuu bado atakuwa ametumia jina la wananchi ili kupata msaada huo, aombe kwa ajili ya tumbo lake aone kama atapewa labda suti!
WANANCHI OYEEEE!
 
Wakazi wa ubungo tumeshasema huyu dogo bungeni atumrudishi kwa kura zetu tena, labda wapange njia zingine.

huwezi kwenda bungeni kutumia lugha za kuudhui na lugha chafu kwa watawala katika kujenga hoja, halafu anaambiwa futa kauli yako uendelee kuchangia ANAGOMA?

wakazi wengi wa Ubungo tumepoteza imani na matumaini na kijana huyu na tunamwambia bungeni tena basi.


Hayo ni mawazo yako Binafsi. Myika Chapa Kazi
 
:flypig:Mbona Mnashindwa kuelewa Jamani? Yaani wanaopitisha Bugdet ni wengine tena Bugdet waliokuwa wanaipinga CDM, Wajenzi ni wengine, ILA WALE WASHABIKIAJI NA WAKOSOAJI WA KAZI ZOTE ZA SERIKALI WANAKUJA KUJINADI NAZO NA KUJIPATIA UMAARUFU BAADA YA KUONA KAZI ZINAANZA, Mnyika sasa kwa hili amefanya nini? Hii ni miradi iko kwenye ratiba CCM, Leo anajitambia nayo, CHUNGUZENI KWA UMAKINI HISTORIA YA MNYIKA, HAKIKA HAMTAAMINI, KUONGEA SANA HUKUSAIDII, WASOMI MSIINGIZWE MKENGE NA HUYU, DOGO TU HEBU CHUNGUZA ELIMU YAKE NA ALIKUWA ANAFANYA KAZI GANI KABLA HAJAWA MBUNGE, ILI MONE NATURE YA WATU WANAO ZUNGUMZA MANENO MENGI WAKIJUA NDIO MTAJI WAO, WAZEE/ WASOMI na VIJANA FUATILIENI!

Elewa kijana mradi huu unaweza kua ni kuchemsha tone la maji ukapooze kwenye ndoo uoge, CDM walikua wakipinga budget yenye 70% recurrent expenditures sawa?. Au nirudi na somo la Development Vs Recurrent expenditure uelewe wanamaanisha nini?. Mradi huu hauwezi Kujustify kua budget haikua cooked, ni sawa na kupoteza Gunia la dhahabu ukaokota 20grmz na kujisifu kua wewe huna upofu wa macho.

Woke up bro, akupae pp huku kaficha keki ni mwizi.......
 
Back
Top Bottom