johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Natokea hapo Hugo house narudi ofisini kwangu Ufipa, kiukweli haya majengo ya Bakwata yanapendeza hongera sana Kwa mfadhili anayewajengea. Thanks!
Nimeshafika Ufipa mkuu labda baadae kidogo nitapiga si unajua hapo ni jirani tuPicha???
Makontena na Bakwata wapi na wapi mkuu?!!
Nyie ndio mitambo ya kuzalisha uongo aliyokuwa anasema katibu wenu Bashiru leoNimeshafika Ufipa mkuu labda baadae kidogo nitapiga si unajua hapo ni jirani tu
hasafishiki