JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Serikali Wilayani Simanjiro imesema, hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Simanjiro ni nzuri.
Mhandisi Zephania CHAULA ameyasema hayo jana kuwa msingi umechimbwa, mawe na mchanga viki eneo la mradi kwa gharama za wananchi.
Amesema kwa upande wa Serikali hizo ni hatua njema ambazo zinatija na mafanikio ya ujenzi wa hospitali hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhandisi Zephania CHAULA ameyasema hayo jana kuwa msingi umechimbwa, mawe na mchanga viki eneo la mradi kwa gharama za wananchi.
Amesema kwa upande wa Serikali hizo ni hatua njema ambazo zinatija na mafanikio ya ujenzi wa hospitali hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app