Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Picha mbalimbali za muonekano wa daraja la JPM lenye urefu wa kilomita 4.6 linalojengwa katika eneo la Kigongo - Busisi, jijini Mwanza.
Leo Juni 14, 2023 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo linalogharimu shilingi bilioni 716, ambapo ujenzi wake umefikia asilimia 75.
Leo Juni 14, 2023 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo linalogharimu shilingi bilioni 716, ambapo ujenzi wake umefikia asilimia 75.