Ujasusi Sebuleni Kwetu

Unamuongelea al-zawahiri yupi? Muhammad al-Zawahiri au Ayman al-Zawahiri??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana jiwe hapindui kwake kila kitu anaomba msaada kwa Tolu.
Juzijuzi nasikia hafi M7 no mnyarwanda pia usione ajabu haya yanayosemwa jiwe nalo ni wa ukouko pia ndio maana anatuahaibia uchumi wetu tu halafu anasepa kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni akili za kukubali jambo bila kufikiri!

Watu hao huzidi kujitapaza ujinga wa kudumu kwa kuamini hadithi za kwenye vijiwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…