Hapa namzungumzia uchambuzi wangu binafsi juu ya uwezekano mkubwa wa kampuni ya Boeing kuhujumiwa na mahasimu wao kibiashara, excuse kwamba eti kupata hitilafu engine ni kitu cha kawaida, haikubaliki Kwa sababu zifuatazo.
1.Engine ya ndege ni lazima ifanyiwe regular check up kabla ya kui verify sokoni
2.Boeing wametengeneza zaidi ya ndege 200 aina ya 737 MAX 8 na kuzipeleka sokoni na zote zilizoruka zimeanguka Kwa tatizo hilo hilo
3.Ni nani aliruhusu na ku verify hizo ndege ziruke na kisha kuuzwa? Hakuona tatizo?
4.Kwanini tatizo la ajali linafanana?
Maswali ni mengi ,Boeing imehuhujumiwa
Sent using
Jamii Forums mobile app