Ujasiria Mali Na Ujasiria Mwili Vinavoenda Bega Kwa Bega!( Mume wa Mtu Part 2!)

As long as umezaliwa mwanamke in a man's world

huna jinsi

hata maofisini ajira zinalindwa hivyo hivyo kwa mwili pia

promotion na safari zinatafutwa kwa mwili pia...

kazi kwako...

Mhh The Boss.. Tatizo kubwa ni pale unapokuwa unajaribu kutatua tatizo huku kichwani mwako ukijua kuna solution ambayo utaitumia in case plan A imekwama.. maana yake huwezi kuupasua au kuushughulisha ubongo wako kwa kuufikirisha to the maximum.. Na hili ndilo linalowakumba baadhi ya wanawake.. Wapo ambao wanakomaa mpaka mwisho but sadly kuna ambao hawawezi kukomaa..
 
Last edited by a moderator:
Blah! blah! Patience is a weapon niende CLUB KWA MKONGOJO!!!!!!!!! ? LOL! Mi natufua hela ili nijipe maraha y duni hii! Sasa nikiipata uzeeni takuwa TOO LATE! Ndo maana naikimbiza !

The wise listen!!!
Alafu short cut hurts!!!
Huwez anza na mbili!!!!!!
Kila mtu huanza na moja!!!!!
Ngazi kwa ngazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Am sooo sorry!!!!
Ila haraka haraka haina baraka!!!

Kuna principle katika kila hatua ya maisha!!!
Ni pamoja na ku make money which you are so desperate to have!!!!!

All the best bidada.
 
The wise listen!!!
Alafu short cut hurts!!!
Huwez anza na mbili!!!!!!
Kila mtu huanza na moja!!!!!
Ngazi kwa ngazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Am sooo sorry!!!!
Ila haraka haraka haina baraka!!!

Kuna principle katika kila hatua ya maisha!!!
Ni pamoja na ku make money which you are so desperate to have!!!!!

All the best bidada.

Hahahaaaaa! Save your sentiments for them little naive girls! I'm too grown up for those imiginations. I'm keeping it real! Thanks for commenting though!
 
Mhh The Boss.. Tatizo kubwa ni pale unapokuwa unajaribu kutatua tatizo huku kichwani mwako ukijua kuna solution ambayo utaitumia in case plan A imekwama.. maana yake huwezi kuupasua au kuushughulisha ubongo wako kwa kuufikirisha to the maximum.. Na hili ndilo linalowakumba baadhi ya wanawake.. Wapo ambao wanakomaa mpaka mwisho but sadly kuna ambao hawawezi kukomaa..

Ukomae wanao warudi Kayumba, mle nyasi. Angekuja kwako kukukopa ungempa? Always easier said than done. Goodlife has its price. Kupeleka watoto 3 genesis obay senior banker mwenyewe hana ushuzi huo. Life is a choice.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa! Save your sentiments for them little naive girls! I'm too grown up for those imiginations. I'm keeping it real! Thanks for commenting though!


Ila principles of this world hazibadiliki with age difference!!!
Sawa bidada
 
Usomi mwigine ndo hivo unastaafu teller au back office pale 30 yrs of CHEAP LABOR! Mimi hapana aiseee! I AM TAKING THE SHORTCUT. I aint sayin you should too but sometimes ITS NOT WORTH IT.

shortcut is a longcut!!!! lakini maisha hayana formular, kama waona hiyo ndio njia sahihi nani wa kukuzuia. mafanikio ya watu ya mengi ndani yake.
 
Lara 1........We all have our dark ways....we are no Angels!!.....no saints!!.....We do what we have to do so we can do what we want to do.........But,most of us dont choose the black mask .....we know the cost....and if anyone were to go back...safe and sound..THEY WOULD!!..... But the price is too high.........
You are about to make a major decision in your life...You have the chance TO CHOOSE.....the chance to LOSE.......But WINNING is only for the decent people(fair enough).....poor or rich...because,WINNERS CHOOSE TO LIVE......Regardless of the situation.
AINT NOBODY GONNA CHOOSE FOR YOU......YOU KNOW THE DRILL....YOU GOT THEM DEALS.....Do You!!!
 
nIKIFILISIKA KWELI!!!!!!!!!? Hahahaaaa! Watu wanaozika hela pia ni wengi si masihara. Na majanga yapo na hayakwepeki kwnye businesss.

kikubwa ni kujipanga tu lara 1. biashara yahitaji usimamizi wa karibu sana. usiogope kushindwa kabla hata hujajaribu.
 
Last edited by a moderator:
Mwanga mkubwa weee!

Personally nawajua kinadada wanaoendaga China "kufunga mzigo" na wenye "mafanikio" mjini. Lakini stories nyuma ya pazia ni kama huo ushauri uliopewa na zaidi. Waume zao wameauma kuvaa miwani ya mbao. Wewe mwenyewe tu! Ukitoka utakuwa inspirational story kwa wengine na watakuja kukuomba ushauri!
 
As long as umezaliwa mwanamke in a man's world

huna jinsi

hata maofisini ajira zinalindwa hivyo hivyo kwa mwili pia

promotion na safari zinatafutwa kwa mwili pia...

kazi kwako...

whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!?
 
Back
Top Bottom