Nakubaliana na dhana ya kwamba dau lilikuwa dogo,wakatizama na uwezekano wa kupandishwa cheo,wakaona em 15 hailipi.Hizi zimepatikana kwa sababu mshiko ulikuwa kidogo. Mali ya 2.1b jamaa wanataka kutoa 15m. Hapo walikutana na polisi mwenye kujua mahesabu kidogo ndo maana lilibuma. Nadhani walitaka 10% ambayo ni 210m.
Amehukumiwa leoMwananchi ndio mjenga nchi na ndio mbomoa nchi, wageni wanasingiziwa tu!!