Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,501
- 11,991
Jana Nilikutana na mzee mmoja mstaafu wa maliasili katika mazungumzo yetu Alinipa uzoufu wake wa miaka mingi maliasili kama askari ,pia alinipa assignment na maswali mengi ambayo yaliniacha na ???? Alitumia maneno kama "serikali kujikoshaa" mfano issue za kontena ya meno ya tembo.Alitolea mfano mchina anaweza kuja akitokea asia kuwinda Ndovu bila mkono wa serikali?? kibaya zaidi kwa huyu mzee wetu mstaafu wanyama pori hakujipanga, mzee huyu hivi sasa anatafuta kibarua katika kampuni binafsi za ulinzi (security guard). pamoja naku zeeka sana anataman apangiwe lindo la silaha ashike bunduki ili mshaara wake uwe mkubwa kidogo kweny kampuni ya ulinzi wamekua wakikatalia kutokana na uzee wake.