ulimbo lunopo
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 243
- 37
jamani kuna m2 anajiita CCM ORIGINAL,,,huyu m2 hafikiri kabisa anapowasilisha hoja zake,,-Wadau hata kama analipwa lakn kuna baadhi ya mambo tunatakiwa kuweka mbali ushabik wa kisiasa,,,MTANZANIA UNATAKIWA KUWA NA UCHUNGU NA NCHI YAKO.