Ujangili na Biashara zisizoeleweka: Ni nani huyu - Mohsin Abdallah(Sheni)?

You can never be lonely with jamii forums within your reach.....watu wanafurahisha je, kila data wako nazo,ndio maana naipenda sana hii forum wajameni
 
Huyu ni mfanyabiashara mkubwa mjini Kigoma. Ana hotel ya kitalii inaitwa Kigoma Hill Top Hotel, na kampuni ya kusafirisha watalii kwenye mbuga za Gombe na Mahale.

Huyu zamani alikuwa na Garage ya kukarabati magari kule Ujiji, Shein Auto Garage, ambayo aliifunga baada ya kuanza kujenga Hill Top Hotel. Ni rafiki mkubwa wa viongozi wakubwa wa Serikali tangu enzi za Mzee Ruksa.

Huyu ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Mkoa wa Kigoma, na mfadhili mkubwa sana wa CCM.

Watu wa Kigoma wanahisi kuwa yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya na pia ni mtumiaji wa bidhaa hiyo.

Mkuu Asante sana kwa Taarifa yako nzuri sana , itatusaidia sana .
 
Aliyeshikana mkono na Mchuuzi wa rasilimali za Taifa anahusika. Ni mmiliki wa Zantas Air, ni mmiliki wa Hunting Companies kama tatu Hivi, ndiye aliyesub-lease illegally Hunting Block yake kwa Mantra Tanzania, kampuni iliyowekeza Mitambo ya kuvuna Uranium huko Namtumbo, kwenye hiyo illegal deal Serikali imekaa kimya na kumuachia huyo bwana apige $ 6m peke yake kwa niaba ya Watanzania. Zaidi ya hapo alikuwa Mwenyekiti wa Tanzania Hunters Association (TAHOA) for some years. Naomba nibakishe akiba ya maneno.

IMG_6363.JPG

...haki ya mtanzania shahidi Mungu ...umetunguwa kama Basilisilona linavyotunguliwa na Bayani Munisi....
 
jamani kuna m2 anajiita CCM ORIGINAL,,,huyu m2 hafikiri kabisa anapowasilisha hoja zake,,-Wadau hata kama analipwa lakn kuna baadhi ya mambo tunatakiwa kuweka mbali ushabik wa kisiasa,,,MTANZANIA UNATAKIWA KUWA NA UCHUNGU NA NCHI YAKO.

Unaambiwa ni afadhali njaa itapoa kwa kikombe cha uji , lakini Dhiki ni balaa ! Lazima ujidhalilishe ! Hiyo ID ni kati ya nyingi zinazomilikiwa na mtu mmoja .
 
Aliyeshikana mkono na Mchuuzi wa rasilimali za Taifa anahusika. Ni mmiliki wa Zantas Air, ni mmiliki wa Hunting Companies kama tatu Hivi, ndiye aliyesub-lease illegally Hunting Block yake kwa Mantra Tanzania, kampuni iliyowekeza Mitambo ya kuvuna Uranium huko Namtumbo, kwenye hiyo illegal deal Serikali imekaa kimya na kumuachia huyo bwana apige $ 6m peke yake kwa niaba ya Watanzania. Zaidi ya hapo alikuwa Mwenyekiti wa Tanzania Hunters Association (TAHOA) for some years. Naomba nibakishe akiba ya maneno.

IMG_6363.JPG
Enzi ya Mwalimu 'CCM chama cha wakulima na wafanyakazi' Enzi ya sasa 'CCM kampuni ya mafisadi' Hao akina Mohsin Abdallah ndio wanaoimiliki CCM ya sasa kama kampuni yao inayotawala Tanzania
 
yeyote si lazima awe CCM.
Huyu Mohsin Abdallah Sheni, akishirikiana na Azim Premji, walishughulikia kuondoka kwa Castico kwenye Ukatibu wa CCM wa Mkoa mwaka Septemba 2010 wakati wa kampeni za uchaguzi.

Kisa ilikuwa ni kwamba Viongozi wengine wa Kamati ya Maadili ya CCM mkoa wa Kigoma, akiwemo Joseph Simbakalia, waliweka pingamizi kwa mgombea ubunge Jimbo la Muhambwe (CCM) mwenye asili ya kiasia kwa jina la Jamal Abdallah Tamim, kwa hoja kwamba mtu huyu si safi. Wakati wahusika wa biashara ya viungo vya maalbino wanatafutwa, wananchi wengi zaidi wa Kibondo walimtaja Jamal kuhusika na biashara hizo. Pia Jamal alishahusishwa na utekaji wa mabasi uliokuwa unatokea sana mkoani Kigoma. Jamal pia alikuwa na kesi dhidi ya Padre Mmisionari wa Parokia ya Mabamba (Padre Adrian Jimenez), ambae Jamal alimshtaki kuwa anamchafulia jina kuwa yeye ni jambazi.

Kwa ushawishi wa Mohsin Abdallah Sheni na Azim Premji CCM makao makuu, hasa kwa Rostam Aziz (wakati huo akiwa na nguvu sana CCM) na JK, Castico alihamishwa katikati ya kampeni na kurudishwa makao makuu, ili kutoa nafasi kwa mgombea anayependwa na Mohsin Abdallah Sheni na Premji asibugudhiwe.

Hii ilikuwa sababu kubwa ya CCM kuambulia viti 3 kati ya viti 8 vya ubunge mkoani humo. Na hata wana CCM wengine waliokuwa wanakipenda chama walikatishwa tamaa na kulindwa kwa mafisadi hao mkoani Kigoma.
 
Yaani hiyo point ya kimasikini namna hiyo ndiyo inakufanya ukeshe Jf ? Mbona madaraka ya Mamaako mdogo yanakutesa namna hiyo ? jifunze kujitegemea bhana !
Kamanda wazoee tu hao, hao ni cheap labourers wa Lumumba humu ndani limemwagwa genge la watu kama 1000 hivi kazi yao ni kuparamia kila point inayotolewa against CCM. Hawa jamaa nadhan watasababisha watu waachane na JF mana wanajamba sana mawazo humu ndani, yani wanaipotezea sifa JF mtandao wa kijamii wa watu makin.
 
Unaambiwa ni afadhali njaa itapoa kwa kikombe cha uji , lakini Dhiki ni balaa ! Lazima ujidhalilishe ! Hiyo ID ni kati ya nyingi zinazomilikiwa na mtu mmoja .
Kwa kweli itabidi tudeclee tu kuwa Lumumba mob ni janga la JF, mimi nadhan hawa watu ni mafukara kabisa maana dhiki ina afadhali kidogo.
 
can't believe Hiltop hotel Kg ni ufisadi mtupu! Tanzania ni balaa tupu.
 
if that is the case inakuwaje hataki pombe kuuzwa pale hil top.
nlidhani ni mtu swafii wa swala tano.
tulikua tunakunywa sun side au sandra au website kisha tunarudi kulala au kuogelea pale
kigoma raha wajamini.
Huyu ni mfanyabiashara mkubwa mjini Kigoma. Ana hotel ya kitalii inaitwa Kigoma Hill Top Hotel, na kampuni ya kusafirisha watalii kwenye mbuga za Gombe na Mahale.

Huyu zamani alikuwa na Garage ya kukarabati magari kule Ujiji, Sheni Auto Garage, ambayo aliifunga baada ya kuanza kujenga Hill Top Hotel. Ni rafiki mkubwa wa viongozi wakubwa wa Serikali tangu enzi za Mzee Ruksa.

Huyu ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Mkoa wa Kigoma, na mfadhili mkubwa sana wa CCM.

Watu wa Kigoma wanazungumza sana kuwa yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya na pia ni mtumiaji wa bidhaa hiyo.
 
Hivi huyo analipa kodi ya pango ya Hoteli ya TARANGIRE RIVER CAMP kwa Idara ya Wanyamapori au Burunge WMA?
 
Back
Top Bottom