Huyu ni mfanyabiashara mkubwa mjini Kigoma. Ana hotel ya kitalii inaitwa Kigoma Hill Top Hotel, na kampuni ya kusafirisha watalii kwenye mbuga za Gombe na Mahale.
Huyu zamani alikuwa na Garage ya kukarabati magari kule Ujiji, Shein Auto Garage, ambayo aliifunga baada ya kuanza kujenga Hill Top Hotel. Ni rafiki mkubwa wa viongozi wakubwa wa Serikali tangu enzi za Mzee Ruksa.
Huyu ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Mkoa wa Kigoma, na mfadhili mkubwa sana wa CCM.
Watu wa Kigoma wanahisi kuwa yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya na pia ni mtumiaji wa bidhaa hiyo.
JK na mafisadi bwana hajambo sana
YANI HAPA RAISI JK KWELI ANATUSALITI. ANASHIKANA MKONO NA UYU MTU AMBAYE NI HATARI KWA WATANZANIA. APA PRESIDAR HAJATUTENDEA HAKI WALAHi
Aliyeshikana mkono na Mchuuzi wa rasilimali za Taifa anahusika. Ni mmiliki wa Zantas Air, ni mmiliki wa Hunting Companies kama tatu Hivi, ndiye aliyesub-lease illegally Hunting Block yake kwa Mantra Tanzania, kampuni iliyowekeza Mitambo ya kuvuna Uranium huko Namtumbo, kwenye hiyo illegal deal Serikali imekaa kimya na kumuachia huyo bwana apige $ 6m peke yake kwa niaba ya Watanzania. Zaidi ya hapo alikuwa Mwenyekiti wa Tanzania Hunters Association (TAHOA) for some years. Naomba nibakishe akiba ya maneno.
jamani kuna m2 anajiita CCM ORIGINAL,,,huyu m2 hafikiri kabisa anapowasilisha hoja zake,,-Wadau hata kama analipwa lakn kuna baadhi ya mambo tunatakiwa kuweka mbali ushabik wa kisiasa,,,MTANZANIA UNATAKIWA KUWA NA UCHUNGU NA NCHI YAKO.
mmmh! Kweli ukianza kusikiliza umbea na majungu utakufa kwa presha?
na nyie vile vidole viwili ndo nini tena?
Hata mimi naonaLumumba Mob wamesha grab hii thread
Enzi ya Mwalimu 'CCM chama cha wakulima na wafanyakazi' Enzi ya sasa 'CCM kampuni ya mafisadi' Hao akina Mohsin Abdallah ndio wanaoimiliki CCM ya sasa kama kampuni yao inayotawala TanzaniaAliyeshikana mkono na Mchuuzi wa rasilimali za Taifa anahusika. Ni mmiliki wa Zantas Air, ni mmiliki wa Hunting Companies kama tatu Hivi, ndiye aliyesub-lease illegally Hunting Block yake kwa Mantra Tanzania, kampuni iliyowekeza Mitambo ya kuvuna Uranium huko Namtumbo, kwenye hiyo illegal deal Serikali imekaa kimya na kumuachia huyo bwana apige $ 6m peke yake kwa niaba ya Watanzania. Zaidi ya hapo alikuwa Mwenyekiti wa Tanzania Hunters Association (TAHOA) for some years. Naomba nibakishe akiba ya maneno.
Huyu Mohsin Abdallah Sheni, akishirikiana na Azim Premji, walishughulikia kuondoka kwa Castico kwenye Ukatibu wa CCM wa Mkoa mwaka Septemba 2010 wakati wa kampeni za uchaguzi.yeyote si lazima awe CCM.
Kamanda wazoee tu hao, hao ni cheap labourers wa Lumumba humu ndani limemwagwa genge la watu kama 1000 hivi kazi yao ni kuparamia kila point inayotolewa against CCM. Hawa jamaa nadhan watasababisha watu waachane na JF mana wanajamba sana mawazo humu ndani, yani wanaipotezea sifa JF mtandao wa kijamii wa watu makin.Yaani hiyo point ya kimasikini namna hiyo ndiyo inakufanya ukeshe Jf ? Mbona madaraka ya Mamaako mdogo yanakutesa namna hiyo ? jifunze kujitegemea bhana !
Kwa kweli itabidi tudeclee tu kuwa Lumumba mob ni janga la JF, mimi nadhan hawa watu ni mafukara kabisa maana dhiki ina afadhali kidogo.Unaambiwa ni afadhali njaa itapoa kwa kikombe cha uji , lakini Dhiki ni balaa ! Lazima ujidhalilishe ! Hiyo ID ni kati ya nyingi zinazomilikiwa na mtu mmoja .
na nyie vile vidole viwili ndo nini tena?
Huyu ni mfanyabiashara mkubwa mjini Kigoma. Ana hotel ya kitalii inaitwa Kigoma Hill Top Hotel, na kampuni ya kusafirisha watalii kwenye mbuga za Gombe na Mahale.
Huyu zamani alikuwa na Garage ya kukarabati magari kule Ujiji, Sheni Auto Garage, ambayo aliifunga baada ya kuanza kujenga Hill Top Hotel. Ni rafiki mkubwa wa viongozi wakubwa wa Serikali tangu enzi za Mzee Ruksa.
Huyu ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Mkoa wa Kigoma, na mfadhili mkubwa sana wa CCM.
Watu wa Kigoma wanazungumza sana kuwa yeye ni mfanyabiashara wa madawa ya kulevya na pia ni mtumiaji wa bidhaa hiyo.