Ujana wako utumie wapi uje malizana na mie!!


well said CEJ!!
 
ila huyo dada alikuwa tofauti kiukweli kama sikosei yuko vere commited ..kina dada wanavyotafuta mabuzi ya kuchuna kwa kasi ya ajabu...na ki Prado kimepaki hapo bado akamtolea uvivu ...
Mfano wa kuigwa
 
nashangaaa, wenyewe wamejitoa muhanga......tena mchune mpaka mbaki mishipa na mifupa.....dayyyyyyyyyyyym!!![/QUOTE]

Mhhhhhh!!!!!!!!!πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
ila huyo dada alikuwa tofauti kiukweli kama sikosei yuko vere commited ..kina dada wanavyotafuta mabuzi ya kuchuna kwa kasi ya ajabu...na ki Prado kimepaki hapo bado akamtolea uvivu ...
Mfano wa kuigwa

Huyo usijekuta kishawahi kumegwa na hilo dingi sasa kapata dogo mwenye kisu pia kwa hiyo anamwona babu dingi wa watu kama mkosi tu.
 
Cha muhimu ni mapenzi kaka haijalishi mzee ama kijana, kama mnapendana basi hilo ndio la muhimu! Pesa ni kitu cha kupita tena kina wakati ni za msimu, hata ule wa kukosa mvua ni afadhali, kwahiyo si muhimu! Mtu akiwa mzee mashine itakuwa nzima tuu!
 
Huyo usijekuta kishawahi kumegwa na hilo dingi sasa kapata dogo mwenye kisu pia kwa hiyo anamwona babu dingi wa watu kama mkosi tu.

Innawezekana kabisa.

Au vile ilikuwa kwenye Public binti akaamua kujishebedua, ooh sijui nini na nini, ujana wako umekula na nani, blah blah blah. Ataenda kumuomba radhi baadae huyo, si lolote.

Au dingi/Babu kafulia nini? Labda alikuwa nazo zile za pensheni/kiinua mgongo, binti kazikomba zimeisha anakimbia kulea, hahahahah. Kaaazi kweli kweli.

Age 'aint nothing bwana lol.
 
 
duh!,kweli no money no love..kwa style hii wazee wataendelea ku-win!!

no money no honey....hahaaaaaa
lakini si manyataka wenyewe jamani.....hamchunguzi sawasawa, mnakurupuka tu!!!
 
 
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…