Nimewakumbuka sijui TMK gani vile wanaimbaga ivo
lakini ndo ivo tunazisaka by the time tunakuwa nazo za ki ivyo, hampo tena wapo wengine, dynamics zinakuwa zimeshachange japo system ndo hiyo hiyo B
Nimewakumbuka sijui TMK gani vile wanaimbaga ivo
lakini ndo ivo tunazisaka by the time tunakuwa nazo za ki ivyo, hampo tena wapo wengine, dynamics zinakuwa zimeshachange japo system ndo hiyo hiyo B
si unajua madem wa kibongo hata ukiwa taxi dreva wao poa tu maana si una miguu minne,wanachanua tu chwaaaaa.Hivi hii miprado mayai inawazingua sana hawa watoto wa kike eeh? sasa mtu akiliendesha ndo limekuwa lake...lol
Binamu unamwaga pointi sana! Yaani wakati sisi tukishakuwa na fwedha, tayari tunakuwa tunakaribia kuwa wazee, na wao pia wanakuwa wameanza kuzeeka (tayari wameshaa anza kuvaa miwani ya macho na kuanzisha vi NGO vya haki za wanawake!)!
Matokeo yake tunarudi kwa dogo dogo, kwa hiyo, kampeni ya ''uzee wako unaniletea mimi, kwani ujana wako uliutumia na nani'' kamwe haiwezekana!!
si unajua madem wa kibongo hata ukiwa taxi dreva wao poa tu maana si una miguu minne,wanachanua tu chwaaaaa.
poa tu najua hutafuti mamii,mama mia ana soo nimeghairi,kwanza simuoni nieona mahali kama kapigwa ban vile.
Nimewakumbuka sijui TMK gani vile wanaimbaga ivo
lakini ndo ivo tunazisaka by the time tunakuwa nazo za ki ivyo, hampo tena wapo wengine, dynamics zinakuwa zimeshachange japo system ndo hiyo hiyo B
wanaelewa sana ila wabishi tu, sijui kwa nini.
Ukisema uanze naye hana kitu,baadae akizipata tu anatimua, so why the suffer??
"go get the monies na mrudi mpate mtakacho" by bht-jf
Binamu unamwaga pointi sana! Yaani wakati sisi tukishakuwa na fwedha, tayari tunakuwa tunakaribia kuwa wazee, na wao pia wanakuwa wameanza kuzeeka (tayari wameshaa anza kuvaa miwani ya macho na kuanzisha vi NGO vya haki za wanawake!)!
Matokeo yake tunarudi kwa dogo dogo, kwa hiyo, kampeni ya ''uzee wako unaniletea mimi, kwani ujana wako uliutumia na nani'' kamwe haiwezekana!!
>>Kibinti kinaomba hela ya saloon unakiambia subiri nilimkopesha Fidel80 ngoja nimcall aniletee ..wakati dingi mkono unatumbukia mfukoni fasta bila maelezo .
habari ndo hiyo!
sijasema wewe mama usikasirike nazungumzia uswazi tunakokaa,najua wewe tawi lajuuwatch your generalization here BAK!!!
sie wenyewe tunajua kuzisaka sasa zako zitanibabaisha nini bwana wee
some of us 9tena majority of wanawake siku hizi ) pesa kwao sio issue kabisaaa baba, its all about true love man!!!!!
Hivi mkulu masaki nina kajiswali hapo
kwa nini akina dada wa kibongo akiwa anaendesha gari kuwe na jua kusiwe na jua utamkuta katinga limiwani likuubwa la jua lile? ndo kusemaje..macho hayaoni wakiwa kwenye usukani au ninini? ulishawahi kuobserve hili nina aamini
kurudi kwa dogo dogo ndo hatuna budi.....
Jamani hili ni kwa madada wote
emmbu twendeni na wakati jamani
kuna dada mmoja jana akusita kumwsha
mzee wa watu na tai lake akiwa na prado nje
akampa""we ujana uanze na nani uzee umalize na mie""
embu tukumbukeni na sie vijana jamani hii mizee itawafia
big up mama uliewasha nyota za zambarau kwa hawa mizee yetu
nimecheka hapa mpaka basi,FL kumbe nawewe umo eeh??si unajua tena vidili vyenyewe vya kuungaunga,lakini akizipata utaona mbwembwe zake sasa.>>Kibinti kinaomba hela ya saloon unakiambia subiri nilimkopesha Fidel80 ngoja nimcall aniletee ..wakati dingi mkono unatumbukia mfukoni fasta bila maelezo .
habari ndo hiyo!
sijasema wewe mama usikasirike nazungumzia uswazi tunakokaa,najua wewe tawi lajuu
UMEONA EEEH!! mimi ndo maana nasema sometimes hawa huw awajichongea mislaba yao wenyewe na kujitundika .....
no nimechoka,ntasubiri maybe later naweza bahatisha somewhere around.sisi wenzio tunasonga mbele fulu mapendo.....
haya tafuta mwingine hpoe hiyo phrase haitakuhusu.....LOL!!
Wanaelewa sana ila wabishi tu, sijui kwa nini.
Ukisema uanze naye hana kitu,baadae akizipata tu anatimua, so why the suffer??
"Go get the monies na mrudi mpate mtakacho" by bht-JF