Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

tatizo kubwA inaonekanA haO jamaA wanaofanyA matukio wanashnda sana kwenye hzo bar na wanajuA kilA ktu kinachoendeleA ndanI na wanamsomA kilA mtejA anayekujA kwA hyo wakiamuA kufanyA yaO huwA hawabahatishI

Aisee,asante sana kamanda,naona smart phone inafanya yake mambo ya Caps Locks.Muda sio mrefu utaizoe tu.
 
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu

nampa hongera mke wako kwa ujasiri hadi anakuzidi mwanaume. kweli wewe mwanaume suruali,
 
Back
Top Bottom