Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

Ujambazi umekithiri Mbezi kwa Msuguri

Disposal

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
285
Reaction score
78
Eneo la Mbezi kwa Msuguri sasa majambazi wanaotumia silaha wamekuwa tishio.

Jana na majuzi wamewapora watu fedha kwa kutumia bastola jioni jioni.

Jamani hali ni tete
 
Tangu juzi nasema hili neno.
Hivi Silaha mnazomiliki binafsi zinakazi gani?
Unakuta jirani yako anamiliki silaha hata kupiga juu kutisha Majambazi anaogopa.

Kuna maeneo Majambazi wanayajua ni tata,ukimuwasha mmoja tu hawarudi tena,lakini wakijaribu wakaona mmetuliza kuna siku wataingia kwnye nyumba na kuvuliwa hadi nguo
 
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu
 
  • Thanks
Reactions: amu
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu

Mkuu hata Mimi huwa najiuliza hao jamaa wanafanya kazi saa ngapi?
 
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu

Aisee,nyie Wanaume wa Dar mnaendelea kutia aibu kabisa,yaani mwanamke mkeo ndio jasiri kuliko wewe na amekuongoza sehem hatari wewe chupi ikibana kwa woga?.
Aisee nyie Wanaume wa DAR manyanya kweli,hembu Mchum mkeo mwambie kwa pongezi kutoka kwangu.
Kweli wewe unaMke jasiri,usimuache huyo ni Mama mlezi bora.
 
Juz napita tu pale zinalia duh nikatamani nirudi ila wife akakomaa ,ile bar ya forest ni tishio kwa usalama wa pale kuna watu 24/7 wao ni pulltable tu

Halafu hizi Pooltable walizipiga marufuku uswazi ila kwingine naona magenge ndio maskani zao.
Hapa Usalama jamani wabadilike sasa,mbona inakuwa kama kazi nyepesi sana kuwafuatilia watu kwa hali ya teknolojia ilivyo sasa?
 
Zipo ishu za kufuatilia siyo hizo mmesahau iringa wanywa gongo walifanyiwa harass ikatokea mmoja akapoteza maisha ikawa kelele mwanzo mwisho hadi hapa Jf sasa ya nn kufukuzana na hawa watu wakati kuna ishu muhim za kufuatilia akili kichwani kwako.
 
Zipo ishu za kufuatilia siyo hizo mmesahau iringa wanywa gongo walifanyiwa harass ikatokea mmoja akapoteza maisha ikawa kelele mwanzo mwisho hadi hapa Jf sasa ya nn kufukuzana na hawa watu wakati kuna ishu muhim za kufuatilia akili kichwani kwako.

Aisee we kweli Weekend umeianza mapemaaaa.
Hembu rudia tena kuisoma hii siku ya Jtatu ili uone umechoandika kama kinaeleweka.
 
Ulichoongea ni kweli hapa kwa msuguli majambazi wamefanya kama sehem yao ya kupata pesa mimi nipo hapa kwa msuguri.
 
Back
Top Bottom