Kila umma una Historiya yake kuna Mazuri na maovu.Nasi katika karne hii yetu tuna wazuri, Wema na wabaya.... at the end of the DAY kila binaadamu na Nafsi yake itabeba matendo yake. Tunasamehe na kusamehewa katika uaamuzi wa muumba.
Sasa kabadili vipi jinsia!
Kaweka mbunye na maziwa au?
...
Hapa tufikie vizuri!
Huyu hakuwa Muslim, kajibadili, then kagundua, he was wong! Also kagundua Islam is right path!
Jee abaki huko huko?
Tusiwe Waungu watu hapa!!!!
How if katubu but hawezi kujirejesha M/me?
Ngoja nisubirie Muslim GT!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.