Uislam na mashahidi wa siri

Mahakama zinazoongozwa kwa Torati na Quran kupata Haki ni uhakika. Kwa sababu hazipendelei mtu na sheria zake zimenyooka. Na zinalenga sio tuu kutoa haki na kuadhibu bali kutatua tatizo kwa baadaye

Mfano, Mwizi akiiba Mkate Mkono.
Hizi kangaroo courts za machawa wa ccm ni batili!
 
Mahakama zinazoongozwa kwa Torati na Quran kupata Haki ni uhakika. Kwa sababu hazipendelei mtu na sheria zake zimenyooka. Na zinalenga sio tuu kutoa haki na kuadhibu bali kutatua tatizo kwa baadaye

Mfano, Mwizi akiiba Mkate Mkono.
Tourati kwani sasa ipo? Hivi sasa Quran tu
 
Wasiojulikana wameongezeka. Hata mashahidi wamekuwa mashahidi wasiojulikana
 
Sasa lisu c kafiri napia mhaini hata akinyongwa c sahihi tu.
 
Kwani uongo ninini. Sio ndio kuficha ukweli. Hata upper jina Zurich eti kuupa ulinz sijui nini. Point iko pale pale ni uongo kwa maslah ya dini. Inatofauti gan Mungu anakuambia usile nguruwe ni najisi hapo hapo anakuambia ukijikuta kwenye eneo hakuna chakula na nguruwe ndio chakula pekee hilo eneo kula. Huyu ni Mungu au kiumbe sheikh. Yaan uchafu ugeuke usafi ili kukuokoa. Hizo ni hadith za abunuas
 
Nani aliotoa hio kauli na nani alietoa muongozo?
 
Mmmh! Kuna waislamu mnaijua dini yenu haswaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…