Good for them.
Kama watu wazima wa jinsia moja wanapendana na wanataka kufunga pingu za maisha, rukhsa. Ni maisha yao.
Nimeamini kweli wewe ni nyani na unakaribia kuwa sokwe
Good for them.
Kama watu wazima wa jinsia moja wanapendana na wanataka kufunga pingu za maisha, rukhsa. Ni maisha yao.
Ndio wanaotutawala hao na kusema wanatusaidia watatuletea na sisi,boyz mtaolewaje????
Good for them.
Kama watu wazima wa jinsia moja wanapendana na wanataka kufunga pingu za maisha, rukhsa. Ni maisha yao.
Uingereza imehalalisha kisheria ndoa za jinsia moja baada ya mswada uliopitishwa na bunge lao jana kuwa sheria kusainiwa na Malkia leo Jumatano saa tisa na dakika sita mchana kwa saa za Uingereza.
Sheria hiyo inajulikana kama Marriage (Same Sex Couples) Act 2013. Ndoa za jinsia moja zitaanza kufungishwa rasmi kuanzia katikati ya mwaka 2014.
Sheria hiyo mpya inaungwa mkono na viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini humo akiwemo Waziri Mkuu wa sasa David Cameron. Cameron alipata upinzani mkali kutoka kwa baadhi ya wabunge wa chama chake cha Conservative.
Hata hivyo, mswada huo ulipitishwa kiulaini kabisa na kuwa sheria baada ya kuungwa mkono na wabunge wengi wa vyama vya Labour na Liberal Democrats.
Sheria hiyo inaruhusu mpaka ndoa za kidini za jinsia moja, lakini hailazimishi madhehebu ya dini kufungisha ndoa hizo ndani ya madhabahu yao. Pia makanisa, misikiti, nk hayatashtakiwa mahakamani kwa kukataa kuwafungisha ndoa watu wanaotaka kufunga ndoa ya kidini.
Church of England ni moja ya makundi ya kidini yaliyopinga ndoa za jinsia moja.
haha ahaha ahah eti siku za mwisho? na huyo mungu mlifundishwa na huyo mzungu leo mnajifanya mnamjua kuliko wao na leo mnauana eti dini gani ya ukweli na mnagombana dini gani ichinje nyama...mnatufanya waafrica tunaonekana hamnazo nyie!!Hiii ni dalili ya cku za mwisho jamani tumuombe sana mungu
Lazima ujue kuwa uingereza kisheria, PRINCE CHARLES NI MLINZI NA MUWAKILISHI WA CHURCH OF ENGLAND!
Na hilo liko ndani ya katiba ya UINGEREZA!
Sasa nashindwa kushangaa wanaposema " church of england wanapinga" na anaesaini hio sheria ni Queen!!
Akikubalicho queen ni lazima KANISA LIFUATE!
Ndio maana tunaona mpaka ma bishops wanajitokeza hadharani na kudai wao ni WALIBERALI!
Kama yule aliyejitangaza juzi juzi tu OXFORD!
Wagalatia inatakiwa wapige kelele saana au la sivyo Kanisa linakwenda pabaya!
lkn pia ukichunguza utaona hawa mabishops wanajikuta wanaingia kwenye hii balaa kwa sababu,
moja ya sheria za kuwa kiongozi wa kanisa ni, KUTOKUWA NA MKE!!
mfano wa haraka ni : papa john paul na huyu papa francis ( hakuna mke wala watoto)
Sasa" when mother nature kicks in" utafanya nini? ile maneno ikichachamaa unafanyaje sasa!?
YAFUATAYO NI MAJIBU KUTOKA KWA CARDINAL WA YORK ALIPOULIZWA KWA NINI HANA MKE!
Priests, religious brothers and religious sisters (nuns) as part of their vocation choose not to marry following:
+ The practice recommended in the Bible
+ The example of Jesus Christ, John the Baptist, and the Apostle Paul.
SASA NGUVU YA MAUMBILE IKIPINGWA MATOKEO MARA ZOTE HUWA NI MABAYA SANA!
kama unabisha, baki single maisha yako bila MKE uone! balaa utakazo fanya!
cc Izz Ritz
haha ahaha ahah eti siku za mwisho? na huyo mungu mlifundishwa na huyo mzungu leo mnajifanya mnamjua kuliko wao na leo mnauana eti dini gani ya ukweli na mnagombana dini gani ichinje nyama...mnatufanya waafrica tunaonekana hamnazo nyie!!
Asante ila sihitaji kujua zaidi ya hapo,just keep it to yourself !!usilazimishe kucheka! na kwa taarifa tu ! si wote tulio fuata dini ya mzungu na huyo mungu wa kizungu kwenye picha!
dini yangu mimi ni dini ya maumbile,
dini iliyo niruhusu nioe na kuwa na watotona ni dini inayo nifundisha kuabudu MUNGU WA KWELI!
AMBAE HAJA WAHI KUSULUBIWA WALA KUFA KIFO CHA MSALABA, HAJAWAHI KUSKIA NJAA, WALA KIU!
HAJAZALIWA WALA HAJAZAA!
WALA HANA ANAE FANANA NAE KATIKA UUNGU WAKE!
MUNGU WANGU MIMI NI MUNGU MKUUU. aliye waumba hao wazungu na huyo aliyo wekwa kwenye picha akaabudiwa!
na amekuumba wewe na wazee wako na akakupa pumzi ukawa na uwezo wa kumkana na kucheka kwa kebei! lkn MUNGU MKUU ANASEMA "HAKIKA KILLA NAFSI ITAONJA MAUTI! NA ATAKAE EPUKANA NA ADHABU YA MOTO NA AKAINGIA PEPONI ATAKUWA AMEFUZU KUFUZU KULIKON KUKUBWA MNO!
We ndugu kana tu! lkn MUNGU ALIYE KUUMBA ni mwenye subira, na hakika utarudi kwake!
usilazimishe kucheka! na kwa taarifa tu ! si wote tulio fuata dini ya mzungu na huyo mungu wa kizungu kwenye picha!
dini yangu mimi ni dini ya maumbile,
dini iliyo niruhusu nioe na kuwa na watotona ni dini inayo nifundisha kuabudu MUNGU WA KWELI!
AMBAE HAJA WAHI KUSULUBIWA WALA KUFA KIFO CHA MSALABA, HAJAWAHI KUSKIA NJAA, WALA KIU!
HAJAZALIWA WALA HAJAZAA!
WALA HANA ANAE FANANA NAE KATIKA UUNGU WAKE!
MUNGU WANGU MIMI NI MUNGU MKUUU. aliye waumba hao wazungu na huyo aliyo wekwa kwenye picha akaabudiwa!
na amekuumba wewe na wazee wako na akakupa pumzi ukawa na uwezo wa kumkana na kucheka kwa kebei! lkn MUNGU MKUU ANASEMA "HAKIKA KILLA NAFSI ITAONJA MAUTI! NA ATAKAE EPUKANA NA ADHABU YA MOTO NA AKAINGIA PEPONI ATAKUWA AMEFUZU KUFUZU KULIKON KUKUBWA MNO!
We ndugu kana tu! lkn MUNGU ALIYE KUUMBA ni mwenye subira, na hakika utarudi kwake!
british gays will soon discover why straights call marriage, ''pingu za maisha''. lol
Uingereza imehalalisha kisheria ndoa za jinsia moja baada ya mswada uliopitishwa na bunge lao jana kuwa sheria kusainiwa na Malkia leo Jumatano saa tisa na dakika sita mchana kwa saa za Uingereza.
Sheria hiyo inajulikana kama Marriage (Same Sex Couples) Act 2013. Ndoa za jinsia moja zitaanza kufungishwa rasmi kuanzia katikati ya mwaka 2014.
Sheria hiyo mpya inaungwa mkono na viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini humo akiwemo Waziri Mkuu wa sasa David Cameron. Cameron alipata upinzani mkali kutoka kwa baadhi ya wabunge wa chama chake cha Conservative.
Hata hivyo, mswada huo ulipitishwa kiulaini kabisa na kuwa sheria baada ya kuungwa mkono na wabunge wengi wa vyama vya Labour na Liberal Democrats.
Sheria hiyo inaruhusu mpaka ndoa za kidini za jinsia moja, lakini hailazimishi madhehebu ya dini kufungisha ndoa hizo ndani ya madhabahu yao. Pia makanisa, misikiti, nk hayatashtakiwa mahakamani kwa kukataa kuwafungisha ndoa watu wanaotaka kufunga ndoa ya kidini.
Church of England ni moja ya makundi ya kidini yaliyopinga ndoa za jinsia moja.
Hiii ni dalili ya cku za mwisho jamani tumuombe sana mungu
Ni kweli kabisa, wanadamu wametenda dhambi zoooote za kumuudhi Yehova, lakini bado Amewavumilia. Sasa wameamua kuifanya dunia sodoma na gomora waone kama Yehova Haja-react.
Inatakiwa wapewe sharti la KUZAA wasipozaa kwa kipindi cha miezi kumi na mbili WAPIGWE RISASI hadharani ili liwe fundisho kwa wengine.