Uingereza yaboresha mahusiano ya kidiplomasia na china

Uingereza yaboresha mahusiano ya kidiplomasia na china

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Haya ni mabadiliko makubwa katika siasa za sasa za kikanda na kidunia.
Wafanyabiashara wa Uingereza wataruhusiwa kuingia china bila visa
 
Ni kwasbb US haminiki kama nchi rafiki wao wakudumu, Trump kabadili misimamo ya nchi za Ulaya, wana haha kupata washiriki wengine, incase.
Ni diplomasia ya kipekee sana nyakati hizi
 
Haya ni mabadiliko makubwa katika siasa za sasa za kikanda na kidunia.
Wafanyabiashara wa Uingereza wataruhusiwa kuingia china bila visa
Ndivo malaya walivyo. Wakiona umeanza kusuasua kuongeza bia, michemsho huagizi tena!!!! Chaap sana wanahamia meza iliojaa vinywaji.

Hizi ndo tabia alisema Nyerere "TABIA ZA KIMALAYA MALAYA"
 
Katika siasa hamna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu US imedhibitisha hili, nchi za ulaya mpaka zinaona Russia kua reliable enemy kuliko US ambae is unreliable friend .
NAM ni sera muhimu sana hapa ndipo ninapomkumbuka Nyerere na Wenzake waliochukua msimamo huu
 
Shida ya trump ni kujiona mkubwa na kudharau wenzake wa ulaya.
Anasahau kuwa vita yoyote waliyopigana Marais wenzake wa marekani huko bara Asia walisaidiwa na nchi za ulaya.
 
NAM ni sera muhimu sana hapa ndipo ninapomkumbuka Nyerere na Wenzake waliochukua msimamo huu
Hivi kwanini mnaamini Nyerere? Hakua na msimamo alikua ana kubatana na mabepari na huko iko na iko na socialists, yeye alipenda kua jui, ila wananchi waje wakiwa masikini wakutupwa, mpaka sasa hivi Tanzania haijarecover kutoka kwenye economic mistakes za Nyerere.
 
EU kwa sasa wanatapa tapa kama kuku aliekatwa kichwa.

Huu ndio ulikua wakati mzuri serikali yetu kujenga urafiki na ushirikiano mzuri na nchi za ulaya maana haitakuja kutokea teeeeeeena.

Tengeneza urafiki zipatikane nafasi nyingi uwamwage vijana ulaya huko upunguze kelele za ajira.

India anafaidika saaaana na hii situation ya sintofahamu kati ya US na Ulaya.


View: https://youtube.com/shorts/vGC0bhSMI88?si=AKTNdlAynWC4Jg7i
 
Marekani haiwezi kuwa imara bila ushirika imara na ulaya na magharibi nzima.

Trump a.k.a Mr.vuruga vuruga anamfanya Xi achekee chooni kwa namna moja ama nyingine.
 
EU kwa sasa wanatapa tapa kama kuku aliekatwa kichwa.

Huu ndio ulikua wakati mzuri serikali yetu kujenga urafiki na ushirikiano mzuri na nchi za ulaya maana haitakuja kutokea teeeeeeena.

Tengeneza urafiki zipatikane nafasi nyingi uwamwage vijana ulaya huko upunguze kelele za ajira.

India anafaidika saaaana na hii situation ya sintofahamu kati ya US na Ulaya.


View: https://youtube.com/shorts/vGC0bhSMI88?si=AKTNdlAynWC4Jg7i

Ulaya itanufahika na nini kutoka Tanzania ?
 
Haya ni mabadiliko makubwa katika siasa za sasa za kikanda na kidunia.
Wafanyabiashara wa Uingereza wataruhusiwa kuingia china bila visa
Ni mda sasa kwa china kufukuliwa kila mahala , USA , sasa itatuma watu wa kutosha , Uingerereza so china itajikuta anafanya biashara na Uingereza kumbe inafanya na Wamerekani
 
Haya ni mabadiliko makubwa katika siasa za sasa za kikanda na kidunia.
Wafanyabiashara wa Uingereza wataruhusiwa kuingia china bila visa
Si vibaya ukiweka source ya hii habari yako.
 
Hivi kwanini mnaamini Nyerere? Hakua na msimamo alikua ana kubatana na mabepari na huko iko na iko na socialists, yeye alipenda kua jui, ila wananchi waje wakiwa masikini wakutupwa, mpaka sasa hivi Tanzania haijarecover kutoka kwenye economic mistakes za Nyerere.
Ipo misingi aliyoiweka ambayo sasa ndio inatufanya tuingie kwenye utandawazi tukiwa na kizazi chenye elimu ya kupamabna na walioendelea.
Ungefunguaje uchumi kwa mabeberu wakati jamii yako ina wasomi chini ya 100
 
Ndivo malaya walivyo. Wakiona umeanza kusuasua kuongeza bia, michemsho huagizi tena!!!! Chaap sana wanahamia meza iliojaa vinywaji.

Hizi ndo tabia alisema Nyerere "TABIA ZA KIMALAYA MALAYA"

Ndio maana mezani kwangu hua hawasogei, Maan kuna kuwaga na Maji + Wine ndogo ya 6000.
 
Back
Top Bottom