dorge
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 235
- 365
Ndg kwa ufupi niliachaga kitambo mambo ya siasa za nchi hii.
Kwa nini.
1. Siasa ni kwa ajili ya viongozi na familia zao.
2. Siasa ni kwa ajili ya matajiri vs wanasiasa.
3. Maskini kaa sibiri mwisho wa uhai wako.
4. Waliotimkia majuu wanabahati maana wameepuka dhahma.
5. Ahadi nyingi za wanasiasa ni uwongo,
6. Waliokatika nafasi za management wanazuia wananchi wasiwasimbue viongozi. Na ukiongea sana unaondolewa.
7. Wananchi wanaoongea sana wanapotezwa.
8. Wazungu wanahakikisha nchi au taifa lenye mali kama mafuta, madini mfano Kongo wanayachukua.
9. Nimeona nikae niishi maisha haya ya sh 100 kukiko fedheha. Nshio maana maprofesa, wame mute. Madaktari wameamua kuhamia bungeni.
10. Ikiwa msomi bongo ni adhabu Bora machinga na bodaboda maana haelewi mielekeo wa taifa
Kwa nini.
1. Siasa ni kwa ajili ya viongozi na familia zao.
2. Siasa ni kwa ajili ya matajiri vs wanasiasa.
3. Maskini kaa sibiri mwisho wa uhai wako.
4. Waliotimkia majuu wanabahati maana wameepuka dhahma.
5. Ahadi nyingi za wanasiasa ni uwongo,
6. Waliokatika nafasi za management wanazuia wananchi wasiwasimbue viongozi. Na ukiongea sana unaondolewa.
7. Wananchi wanaoongea sana wanapotezwa.
8. Wazungu wanahakikisha nchi au taifa lenye mali kama mafuta, madini mfano Kongo wanayachukua.
9. Nimeona nikae niishi maisha haya ya sh 100 kukiko fedheha. Nshio maana maprofesa, wame mute. Madaktari wameamua kuhamia bungeni.
10. Ikiwa msomi bongo ni adhabu Bora machinga na bodaboda maana haelewi mielekeo wa taifa