Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Hii kazi kwelikweli,jibu lako lipo hapa sasa unajiliza nini mtoto wa kiume acha umama
Hii kazi kwelikweli,jibu lako lipo hapa sasa unajiliza nini mtoto wa kiume acha umama
DuhUsijali kalisheshe by the time uko 30's na kuendelea utajilaumu sana why uliteseka hivyo wakati ungeweza tu kumpiga chini!
Huyo hakupendi sio hivyo tu bali anakudharau ukibaki nae hakuna rangi hutaacha kuona huko mbele,
Na kutojipenda na kutoheshimu utu wakoMtu kujiweka kwenye nafasi yako ni kujidhalilisha. Ndo maana wanakukejeli tu humu.
Pole Sana mshikaji. jawabu la upole hugeuza hasira;bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.mithali 15:1.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Wewe dogo sahau kumsamehe mwanamke na kumuacha hakuna kazi yoyote jikaze kiume hao wapo wengi kwa ajili yako tupa huyo tafuta mwengine maisha yaende,narudia sahau yaani wewe sahau kusema ktk maisha yako yote kwamba huyu mwanamke nimemsamehe mwanamke mchafu anaachwa there's no excuses usitafute faraja za kitoto hapa.Aiseee
I need psychological counseling
Coz nikimsamehe atafanya Tena na hivi alivyoonesha kunichoka
Kumuacha ndo mtihani mwingine.
Sijasahau khumbu alivokuchachafyaHahahaha acha kujifariji kijana. Wewe kama unampenda endelea kuwa naye tu ila usitufanye na sisi kama wewe. Sie akili bado tunazo.
Pole sana mwamba. Unampenda sawa lakini jipe miezi 6 ya kuteseka tu. Hapo hakuna mwanamke tena.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Jinyonge ili usiongeze idadi ya wanaume mabwege.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
jiueNifanyeje??
Ulitaka akatae then muanze kuzozana na migogoro. Amekupunguzia yote hayo, sasa fanya uhamuzi.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Kama hauko tayari kumuacha mwanamke, uwe tayari kwa ushenzi wowote kutoka kwake.Aiseee
I need psychological counseling
Coz nikimsamehe atafanya Tena na hivi alivyoonesha kunichoka
Kumuacha ndo mtihani mwingine.
AiseeeKama hauko tayari kumuacha mwanamke, uwe tayari kwa ushenzi wowote kutoka kwake.
Unamkera kweli unavyokosa maamuzi, hujui tu
Acha kujidekeza kimama tumia akili aha kuendeshwa na hisia ...Aiseee
I need psychological counseling
Coz nikimsamehe atafanya Tena na hivi alivyoonesha kunichoka
Kumuacha ndo mtihani mwingine.
Fanya maamuzi magumu......huyo mwanamke alishakujua kwake hupindui ndio maana anakwambia ivoSiku moja nimembana aniambie kwanini amefanya vile, maana yangu ilikua nijue chanzo
Jibu alilonipa Ni kuwa hayo yametokea na yamepita Kwanza nishukuru vipi kama ningemkuta nao.
Baada ya hapo akawa ananiambia siwezi kumuacha hata nifanyeje.
Na hii huwa ananiambia sana.
Kwanza pole Sanaa,nakushauri uachane na huyo msichana Kama saivi ameanza vimbwanga je ukiweka ndani si ndo itakuwa balaaHabari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.